Friday, July 6, 2012

Diamond akiri kufundishwa kiingereza na Wema





Mwanamuziki maarufu wa bongo flava nchini Diamond the platnum juzi alikisanua 'live' kwamba kitendo cha yeye kuongea kiingereza vizuri ndani ya mjengo wa Big Brother Africa umetokana na kufundishwa na mpenzi wake waliotemana naye 'Wema Sepetu. Akiendelea kuchanika ndani ya kipindi cha XXL ambacho kinarushwa hewani na  radio ya Cloudz jijini  Dar es salaam, aliulizwa swali la kizushi na mtangazaji B12.
 

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home