Thursday, August 2, 2012

EMMANUEL OKWI HATIMAYE AMEFUZU KUCHEZA ULAYA..

Aliyekuwa mchezaji hatari wa timu ya Simba, Emmanuel Okwi.
      
Bongomixx imefanikiwa kupata taarifa juu ya aliyekuwa mchezaji hatari wa timu ya Simba sports club  Emmanuel Okwi kuwa amefuzu majaribio yake ya kucheza mpira katika timu ya FC Red Bull Salzburg ya Austria na inasubiriwa majadiliano ya uhamisho wake na Klabu yake ya sasa Simba Sports Club. Bado haijajulikana Simba watavuta dau gani kutokana na kumuuza Okwi tutakujulisha habari zaidi zikipatikana..

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home