Sunday, July 8, 2012

KASEBA APEWA USHINDI, CHEKA AGOMA KUPIGANA..

Lile pambano la kukata na shoka kati ya bondia maarufu na mkali hapa bongo Japhet Kaseba na mkali mwingine kutoka Morogoro Francis Cheka jana halikufanyika baada ya Francis Cheka kukataa kuingia ndani ya uwanja kupigana na kumwamulu refarii ampe ushindi Kaseba.




Bondia Francis Cheka akitoka nje ya ulingo baada ya kugoma kupigana jana.


Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home