Thursday, August 16, 2012

Vunja mbavu zako kwa picha..

Bibi mjanja akiingia ndani ya blog yetu ya bvongomixx

Mkisi mchumu mwaaaaaaaa!!!!!!1

sio lazima uende beach hata hapa unabadilisha hali ya hewa tu..

je? unahitaji fundi wa kujenga??

ohh, watoto tu ndio wanaoga kwenye mabeseni, nani kasema?? nenda kenya uone

jamani urembo kaziiiiiiiii...!!

hata hapa ni toilet tu..!!!

wanasoka mmemuona balloteli akizeeka??

hii kitu serious imetokea

kama ungekuwa wewe ungefanyaje hapa..??

dah hizi network za kibongo miyeyusho kweli yaan

je, unajua mapozi ya wachina katika kupiga picha???

kama kawa kama dawa tunawakilisha peoplesssssssssssssssssssssssssssssss!!!!

eeeh, kumbe kwa mbele ndio anamanywele hiviii..!!!

mbwa ana akili huyuuu..!!!

weee endelea kuchat ipo siku utaumbuka wewe????

ooh, eti rooney hajawahi kuuza pipi na biskuti, nani kasema??

hii ndio bongo halisi

kama kweli una gari jaribu kupita kushoto uone

kweli hii picha itatoka full hapa..???

kitu cha DSTV yaani hapa ni full big brother, super sport na ma movie ya kumwaga

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home