Saturday, July 21, 2012

*** Play gal - 53 (Revenge)


 
Ilipoishia…

Kimoyo moyo nilijipa shangwe kwani niliamini sasa nitakuwa nimemuweza mchungaji James na hatakuwa na ujanja kama nitapiga kweli yowe. Mwili wake wote ulionesha kutetemeka kwa uoga, huku nikishuhudia nanii yake ikilala. Nikatumia mwanya huo huo kumtetemesha zaidi..
“..nakuona hujibu uko kimya.., sasa naanza kuhesabu 1.., 2.., 3..?”
Mchungaji James alinyong’onyea ghafla huku akionesha sura ya upole na huzuni. Sikutaka kumuonea huruma hata kidogo kwani kifua chake kilichojaa manywele ndicho kilichonivutia nakuingia humu chumbani mwake. Nilichokifanya nikamsogelea karibu kisha nikamkumbatia halafu nikajilaza chini nakumuamuru aanze kufanya mapenzi na mimi..
“..haya ingiza humu ndani kwangu James..??,  ingiza basi..? hutaki..?”

Sasa endelea…

Jasho jembamba lililoambatana na machozi huku sura ya huzuni ikimtawala mchungaji James kwa kumuamuru kufanya kile kitendo. Bado alikuwa  kama mtu mwenye kigugumizi yaani sitaki nataka, kwani alionesha kusita sita muda wote. Tukiwa bado tumezubaa pale chumbani tena kila mmoja akiwa uchi wa mnyama. Mara tukaanza kusikia hodi ikigongwa sebuleni.
“..Atakuwa mke wangu huyo amekuja. Pliiz..!!! nakuomba tusitishe zoezi hili na nakuahidi tut…”
“..Shiiii. tena ishia hapo hapo...? huyo wala si mkeo lazima atakuwa mfanyakazi wako wa ndani. Kwani nililmtuma sabuni. Nakuhusu kufanya siku nyingine. Utafanya wewe na mkeo. Sawa..?”
“..lakini binti..?”
“..lakini nini..? haya tuanze mara moja mwenzio nasikia nyege huko…!!”
Niliona kama mchungaji James anataka kunicheleweshea muda ili mke wake arudi na tusiweze kuendelea kufanya chochote. Nikaanza upya zoezi la kumshikashika na sasa nilishamlaza chini kabisa na sio kitandani kama tulivyokuwa awali. nikaanza kukitawala kifua chake kana kwamba mume wangu wa ndoa. Nilizilamba chuchu zake sambamba nakukitafuta kitovu chake kilichokuwa kimezungukwa na tumbo. Mchungaji James alikuwa hana ujanja tena kwenye huu mchezo kwani nilikuwa nimeshamlegeza vya kutosha na kwa sasa alikuwa amehamia juu kwangu huku akiniingizia tena kama mtu ambaye hajafanya muda mrefu. Ndani ya dakika nne tulikuwa hoi kila mmoja na tayari tumeshamaliza cha kwanza.
“..aha..!! haa..!! haa…!!, unavaa nini..?”
“..Christina inatosha bwana..?”
“..eti inatoshaa..? Ndio tulivyoafikiana..? hapa mpaka nisuuzike na roho yangu. Na kwa jinsi nilivyokuwa na hamu ya muda mrefu mwenzako. Hivi ujue tangu nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mchungaji..? Kumbe nyinyi ni watamu kiasi hiki..?”
Maneno yale yalizidi kuuchochea ubongo wa mchungaji James si kwa furaha bali ni kwa hasira kali nakujikuta akiunyanyua mkono wake wa kulia nakuanza kunishambulia kwa makofi. Alibadilika ghafla nakua mkali mithili ya simba tena simba dume. Macho yake yalikuwa mekundu sana huku mdomo wake ukitetemeka mithili ya mtu anayenyeshewa na mvua .
“..Mpumbavu mkubwa sana. Nimekuvumilia muda wote huo hadi nimekutekelezea ulichokitaka lakini bado huriziki kwanini binti wewe..? Haya kwa sasa nasimama kama mchungaji na vile vile mwanaume lijari. Haya sasa piga kelele zako ulizokuwa unataka kupiga..? Pigaaa..??, pigaa sasa nikuoneshe..??”
Ile hali aliyobadilika nayo mchungaji James ilinifanya Tina mie nianze kunyong’onyea nakuona hapa sasa kitakachofuata nikutoka na makovu ama maumivu mwili mzima. Maskini mchungaji James kumbe baada ya kuongea tu yale maneno ya ukali nikamshuhudia akianza kama kutetemeka mwili mzima huku yale macho yake akiendelea kuyakaza nakudondoka mpaka chini. Nilimuwahi pale pale chini nakumshika kifuani kwake ambapo mapigo ya moyo wake yalikuwa yamebadilika ghafla nakwenda mbio kama gari lililokatika breki. Hapo hapo halmashauri yangu ya kichwa ikanituma huenda ana ugonjwa wa moyo au kapata na mshtuko kutokana na kitendo hiki tulichokifanya ukizingatia na nyadhifa aliyokuwa nayo. Nilimtingisha mwili wote mara mbili mbili kuhakikisha lakini bado haikusaidia chochote zaidi ya yeye kufumba macho kabisa kama mtu aliyekata roho. Nilichukuwa kichwa changu huku sikio langu nikiambatanisha sambamba kifuani mwake japo kusikia tena mapigo yake ya moyo lakini haikusaidia kitu zaidi yakutosikia chochote. Woga ukanirudia Tina mimi na sikutaka hata kupoteza muda nilichokifanya nilitoka spidi mpaka chumba cha pembeni nadhani kilikuwa cha yule mfanyakazi wa ndani ama watoto zake mchungaji James. Nilichokifanya kwa haraka haraka nilichagua suruali ya kike nzuri na yakubana mapaja yangu kisha nikatafuta blauzi nzuri nakuzivaa. Kiukweli nilibadilika nakuwa sasa Tina mwingine kabisa kisha nikarudi chumbani kwa mchungaji James. Hali niliyokuwa nimemuacha nayo ndio niliendelea kumkuta nayo na kwa muda huu ni damu za puani ndizo zilikuwa zikimchuruzika nakuwa nyeusi badala ya nyekundu.
“..ulale pahala pema peponi mchungaji James..”
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimfumba macho yake kwa kutumia mikono yangu nakuanza kutafuta suruali zake nakutafuta hela za kuweza kujinasua kuondoka katika hili eneo pia huu mkasa. Ndani ya dakika ishirini tayari nilikuwa nimemaliza kusachi karibu chumba chote cha mchungaji James na tayari mifukoni nilikuwa niumezishindilia noti noti za shilingi elfu kumi zenye thamani kama ya shilingi laki mbili kisha nikachukuwa shuka nakumfunikia. Safari yangu yakutokea mlango wa jikoni ilianza huku nikiamini kwa asilimia mia endapo nitatokea mlango wa sebuleni ni lazima nitakutana uso kwa uso na mke wa mchungaji James ama yule mfanyakazi wake niliokuwa nimemtuma sabuni ya Dettol. Na hizi nguo zao nilizovaa ndio kabisa watanipigia mayowe.
Sikutaka hata kujua ni saa ngapi, kwani kijua tu kile cha asubuhi wazi kilinitambulisha haitakuwa imefika saa sita ama saba za mchana. Kwa muda huu tayari nilikuwa nimeshatoka katika himaya ya kwa mchungaji James nakutokomea nisipopajua. Wazo la kufika nyumbani ‘Nyamagana’ likawa limeishia hapo hapo kwani ndani ya kichwa changu niliamini endapo mchungaji James akiwa hajafa basi itakuwa rahisi kwa mimi kupatikana kwani nilishawahi kumwambia kuwa naishi nyamagana.
“..hapa nikurudi Dar es salaam tu..!! kwani hapa Mwanza japo ni jiji lakini nimeshaliharibu nani rahisi kushikwa kuliko Dar es salaam..”
Nilijisemea peke yangu kwa sauti ya chini chini huku nikikatiza mitaa ambayo kwa namna moja ama nyingine wala sikuwa naijua ni mitaa gani. Baadhi ya vijana walikuwa wakinitolea macho kana kwamba wamenifananisha lakini hilo waka sikulitilia mashaka kwani nilishajua nilichokifanya cha kuvaa nguo ambazo si za kwangu. Mwendo wa dakika tano nzima ulikuwa tayari umeshanipa jibu nakutambua bararabara kuu ipitayo magari.
“..hapa mpaka kituo cha mabasi nyegezi shilingi ngapi..?”
“.. elfu kumi tu..”
“..twende lakini nakulipa elfu nane..”
“..unaua dada.., elewa mafuta yamepanda bei..”
Nikiwa bado katika hali ya kuongea na dereva teksi na hata sikuwa nimepanda ile gari wala kupatana naye bei rasmi. Mara kwa ghafla akatokea mwanamama mnene mrefu kidogo. Alikuwa mweusi huku sura yake ikikunjamana vilivyo mithili ya mtu anapopigwa jua la utosi. Macho yake yalionesha kuwa tata kwani mbali na machozi yaliokuwa yakimtoka pia yalikuwa ni mekundu kama mtu aliyefiwa ama kumpoteza mume au mtoto wa kumzaa.
“..unakwenda wapi Malaya mkubwa wewe..?”
Aliuliza kwa sauti ya jazba. Sikuwa namtambua zaidi yakumtolea macho mimi pamoja na dereva teksi. Mwili wangu ulikuwa tayari umeshakata tamaa ya kuishi huku nikihisi kama kojo likiteleza ndani ya suruali yangu iliyokuwa imenibana…






*** unavyodhani huyo mama ni nani..? na nini hatma ya Tina..?


**** inamaana mchungaji James atakuwa kafariki..? itakuwaje sasa..?

Usithubutu kuikosa Play gal – 54 (Revenge) kwani utamu ndio kwanza unazidi kunoga..

******itaendelea>>>>

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home