Friday, August 10, 2012

BREAKING NEWS: AJALI TENA..

WATU zaidi ya 11 WAHOFIWA KUFA KATIKA AJALI iliotokea daraja la mto wami alfajili ya jana tarehe 10.
Watu zaidi ya 11 wanahofiwa kufa kufuatia ajali ya mabasi mawili ya abiria yaliyokuwa yakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Dar es Salaam.Ajali hiyo inaelezwa kuwa imetokea maeneo ya Daraja la mto Wami alfajiri ya jana Mkoani Pwani. Wadau tunazidi kuzifuatilia taarifa hizi kwa ukaribu,tutazidi kutaarifiana kadiri ya taarifa zitakavyokuwa zinapatika,lakini pia si vibaya kwa mwenye taarifa kamili akatujuza hapa hapa bongomixx.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home