Wednesday, August 8, 2012

NDOA YA WAKE WATATU YAIBUA MENGI..

Mwananume anayedaiwa kuwaoa wake watatu kwa mpiga.
                                                                             
Mwanamme mmoja huko jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kafunga ndoa na wanawake watatu kwa mpigo siku moja kanisani. Tukio hilo limetokea wiki iliyopita ambapo pedeshee huyo aliamua kuwapeleka wake waote  watatu kwa mpigo kanisani na kuwafungisha ndoa kwa nia ya kuishi nao pamoja.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home