Sunday, August 5, 2012

JIFUNZE JINSI YA KUTENGENEZA JUISI YA MCHANGANYIKO WA MATUNDA

KAMA WEWE NI MVIVU KUNYWA MAJI BASI ANZA KUJIFUNZA KWA KUNYWA KINYWAJI HIKI KILICHOKAMILIKA KISHA POLE POLE UTAANZA KUYAPENDA MAJI

MAHITAJI
450 grams Nanasi
 50 grams Tangawizi fresh osha vizuri menya
1 Carrot, chop chop
Ice cubes
 
JINSI YA KUANDAA FATILIA PICHA NA MAFUNZO HAPO CHINI
Muda wa maandalizi : Dakika 15 
Muda wa mapishi : Dakika 15
Idadi ya wanywaji : watu 2
Tunda la nanasi na carrot vinachangia sana sukari yote ambayo uisi inatakiwa iwenayo. Tangawizi inaweka uwiano sawa wa ladha kati ya nanasi na karoti. Kama sio mpenzi wa Tangawizi sio lazima kuitumia, pia kama ni mpenzi wa nanasi au karoti unaweza zidisha kimoja wapo ili upate ladha halisi ya unachokipenda.
Tangawizi: Inategemea na ubora wa tangawizi, unaweza kuhitaji nyingi zaidi au wastani chamsingi uweze pata harufu mwanana katika juisi yako {aroma}.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home