Tuesday, August 7, 2012

HATIMAYEMKALI WA BONGO FLEVA CHIKU KETTO AOLEWA..

Mkali wa miondoko ya bongo flava Chiku Ketto akiwa kwenye vazi la harusi.
                                                                            
Walisema haolewi mbona kaolewa? Ni Chiku Omary Keto, 28, ambaye jana alionekana kwenye picha alizoziweka kwenye page ya Facebook zikimwonesha akiwa amevaa shela kama Bibi Harusi.

Picha hizo ziliwafanya marafiki zake wa Facebook washangae iweje ameolewa kimya kimya hivyo kama inavyoonekana hapo chini.


Hata hivyo baada ya kumuuliza kuhusiana na picha hiyo alisema ni picha za video ya wimbo wake mpya. Umenipata msomaji wa bongomixx..?
                                                     

Labels: , ,

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home