Thursday, August 16, 2012

EXCLUSIVE: "KAMA BUSHOKE AKINIZUNGUA, BASI NAITOA HII MIMBA" - JINI KABULA

Siku chache baada ya kuripotiwa amenasa mimba, mwigizaji anayewakilisha kundi la Scorpion Girls, Mariam Julwa aka JINI Kabula amemtaja mwanaume aitwae Bushoke kama ndio baba wa mtoto wake.

"Hii ni mimba ya miezi minne sasa, kama Bushoke hatakuwa na usumbufu wowote basi nitamzalia mtoto mzuri ambaye atatamba nae mitaani, lakini akinizingua, wakati wowote sikawii kubadilisha mawazo na kuichoropoa"

Labels: ,

Wednesday, August 8, 2012

BIFU LA SINTAH NA AGNESS MASOGANGE LAINGIA PART II

 
 
Sintah akiwa katika pozi.
                                                                               
 
 
Mwigizaji  mwenye  mbwembwe nyingi  kutoka ndani ya  tasnia ya filamu Bongo Christina Manongi 'Sintah' amemtaka  video queen wa Bongo Agness Gerald Masogange   kufunga bakuli lake (kunyamza kimya) na kuacha  kumapakazia meneno machafu kwenye vyombo vya  habari.
Akizungumza na mwandishi wetu  mapema leo Sintah amesema kuwa amesikitishwa  sana na kitendo cha  Agness kumtaja yeye (Sintah) kuwa ndiye anahusika na kuisambaza kwenye mitandao video  inayomuonyesha Agness akiwa mtupu huku pia akionekana kufanaya  matendo kadhaa ya kingono.

"Nimemsikia na isitoshe kuna watu wengi wameniambia juu ya hilo la kunitukana na kunitaja redioni kuwa nahusika, mimi  sijui lolote awaulize marafiki zake  ambao mimi naamini ndiyo wanahusika kuzisambaza kwani hata kwenye BBM yangu ni wao ndiyo walinitumia namuomba afunge bakuli  lake la siivyo nitazitoa zaidi kwani ninazo pati wani mpaka 3 na zote nimetumiwa na marafiki zake ambao yeye anacheka nao lakini hajui kama ni ma-sn***ch" alisema Sintah

Akiendelea zaidi Sintah amefunguka kuwa  kamwe hajui lolote kuhusu kamera anayoisma Agnes, kwani binafasi hajawahi kukutana naye  na  alimjua  kupitia   nyimbo za wasanii wa Bongo Fleva kwa kuwa msichana huyo anapenda kuuza sura  na zaidi hajui hata  anapokaa.

Labels: ,

Tuesday, August 7, 2012

“Nenda kwanza field”, Mpoki amchana Gossip Cop




Kwenye YOU HEARD ya XXL ya Clouds Fm, Soudy Brown amempigia simu Mpoki kumuuliza kuhusiana na story iliyoandikwa na gazeti la Ijumaa Wikienda kuhusiana na Masanja Mkandamizaji mwishoni mwa wiki iliyopita kudaiwa kutandikwa makofi hadharani na polisi baada ya kuingilia msafara wa gari lililokuwa limebeba fedha.

Katika mahojiano hayo Mpoki amemwambia Gossip Cop kuwa hana taarifa zozote kuwa Masanja amelazwa kutokana na kichapo hicho na kummshauri kuwa aende kwanza field ili ajifunze uandishi wa habari kwakuwa hauwezi.

Mpoki amejinadi kuwa yupo kwenye game kwa miaka 12 hivyo hayumbishwi na kitu.

Habari hiyo iliandikwa:

MCHEKESHAJI wa Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja’, mwishoni mwa wiki iliyopita anadaiwa kutandikwa makofi hadharani na polisi baada ya kuingilia msafara wa gari lililokuwa limebeba fedha.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, tukio hilo lilitokea kwenye njiapanda ya Chalinze mkoani Pwani ambapo msanii huyo alikuwa akitokea Dar kuelekea Tanga huku akiendesha gari kwa kasi ya ajabu.

Chanzo hicho cha Ijumaa Wikenda kinachopiga kambi maeneo hayo kilieleza kuwa jamaa huyo alikutwa na kasheshe hilo baada ya ‘kuliovateki’ gari hilo lililokuwa likisindikizwa na polisi ambapo pamoja na kuzuiwa na wajeda hao, Masanja alijitoa fahamu na kujifanya kichwa ngumu.

Kilisema: “Baada ya ‘kuwaovateki’ wale polisi, ndipo nao (askari) wakamkimbiza hadi wakamkamata na alipotaka kuleta ‘mbovumbovu’ za kujifanya staa kama wale wenzake waliopoteza umaarufu na mvuto, ndipo akala mbata zake safi na soo likahamia kwenye Kituo cha Polisi cha Chalinze Njiapanda na kumshikilia kwa muda kisha kumuachia baada ya mahojiano.”
Ili kupata mzani wa habari hiyo, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Masanja ambaye alikiri kutokea kwa tukio hilo na kudai kukamatwa na askari kutokana na makosa ya barabarani kwake ni suala la kawaida huku akikanusha kupewa kibano.

Labels: ,

BONGO MOVIE: Ney wa mitego naamin kabisa unatafuta jina lipande kupitia "Bongo Movie" tunaomba uwataje wahusika

Ney wa mitego akiwa katika pozi



            Msanii wa maarufu wa bongo movie nchini 'Divanesh aidan' kama anavyojulikana kwa jina la Nesh ambaye hivi sasa anatamba kwenye filamu mpya ya 'Glory of Ramadhan' aliyoshilikishwa na Ray. ameibuka juu nakumchana live' Mwanamuziki wa bongo flava nchini Ney wa mitego. Kitendo cha ney kuikashifu sanaa ya bongo movie nchini imechukizwa na wengi wana bongo movie akiwemo Nesh ambaye uvumilivu ulimshinda nakujikuta akimchana live' kupitia mtandao wa kijamii wa 'facebook alinukuliwa akisema.
         "Ney wa mitego naamin kabisa unatafuta jina lipande kupitia "Bongo Movie" tunaomba uwataje wahusika" Baada ya habari hizi kusikika Bongomixx iliamua kunyanyua waya nakumtafuta Ney mwenyewe aeleze lakini jitihada zilishindikana baada ya simu yake kuita muda mrefu bila kupokelewa.

Nesh 'kushoto akiwa na Ray
                                                             
                                            
                                                               
                                                                                                     

Labels: , ,

Mke: BABY MADAHA KANIPORA MUME WANGU..

                                    
Mke wa mwigizaji wa bongo movie 'Khadija kushoto. kulia ni Huyo mume akijirusha na Baby madaha
                                                            

MKE wa mwigizaji wa filamu Bongo, Slim Omar, Khadija Amir ‘Kay’  amemfungukia msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ kuwa amempora mume.

Akizungumza na mtandao huu  hivi karibuni nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar, Khadija alidai kuwa alimwagwa na Slim huku akiwa mjamzito na kwenda kupiga kambi kwa Baby Madaha.


“Mimi nalia na Baby Madaha jamani. Amenipora mume wangu, Slim. Mbaya zaidi aliniacha nikiwa na ujauzito kama hivi mnavyonioa. Lakini sijali kwa sababu naamini kama sikupangiwa niishi na Slim hata nikifanya nini haitasaidia.


“Nashangaa sana kufanyiwa kitu kama hicho na mtu ambaye ni rafiki yangu wa siku nyingi, bora angefanya mwingine lakini si Baby Madaha,” alisema Khadija ambaye ni Miss Shinyanga 2009.


Baby Madaha anayelalamikiwa kwa ‘wizi’ wa mume, alipopatikana kwa njia ya simu alisema yeye hayupo tayari kuzungumzia mambo yasiyo na msingi zaidi ya kutafuta fedha.


“Slim kweli namjua, nafanya naye kazi. Juzi tu hapa nilikuwa nashuti naye wimbo wangu mpya, ghafla ndiyo huyo mwanamke (Khadija) akaanza kunitukana na kudai nimemuibia mumewe.


“Sasa kama anadai wameachana anachokitafuta tena ni nini? Si amuache Slim awe huru kutafuta mtu mwingine?” alisema Baby Madaha pasipo kuweka wazi kama wanatoka na mwanaume huyo au vipi.


Jitihada za kumpata Slim ili kufafanua juu ya msimamo wake kwa wanawake hao hazikuzaa matunda kufuatia simu yake kuita kwa muda mrefu bila kupokelewa.

Labels: , ,

HATIMAYEMKALI WA BONGO FLEVA CHIKU KETTO AOLEWA..

Mkali wa miondoko ya bongo flava Chiku Ketto akiwa kwenye vazi la harusi.
                                                                            
Walisema haolewi mbona kaolewa? Ni Chiku Omary Keto, 28, ambaye jana alionekana kwenye picha alizoziweka kwenye page ya Facebook zikimwonesha akiwa amevaa shela kama Bibi Harusi.

Picha hizo ziliwafanya marafiki zake wa Facebook washangae iweje ameolewa kimya kimya hivyo kama inavyoonekana hapo chini.


Hata hivyo baada ya kumuuliza kuhusiana na picha hiyo alisema ni picha za video ya wimbo wake mpya. Umenipata msomaji wa bongomixx..?
                                                     

Labels: , ,

Saturday, August 4, 2012

AGNESS MASOGANGE: SINTAH NDO MTU ALIYESAMBAZA MKANDA WANGU WA XX


Mrembo 'Classic'  Agness Gerald 'Aggy Masogange' anayeng'arisha nyota yake kupitia viedo za wasanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, amemtupia zigo la lawama mwigizaji Christina Manongi 'Sintah' kufuatia kuvuja kwa mkanda wa video unaomuonyesha akiwa mtupu.

katika mahojiano aliyoyafanya na kituo kimoja cha redio Bongo, Aggy, amefunguka kuwa akiwa safarini nje ya Bongo alipewa taaraifa za kupotea kwa Digital Camera ambayo anadai ndiyo ilitumika kurekodia video hiyo na baada ya uchunguzi kufanywa na watu wake wa karibu iligundulika kuwa mwigizaji huyo ndiye anahusika na kupotea kwa kamera hiyo huku pia akidai ndiye aliyefanya kazi ya kusambaza video hiyo kwenye vyombo vya habari na mitandao kadhaa.

"Nilipewa taaraifa ya kupotea kwa kamera hiyo, nina hakika atakuwa sintah ndiye aliyefanya kazi ya kuisambaza, awali nilitaka kuchukua hatua juu ya jambo hilo lakini nikashauriwa na watu wangu kuwa nisifanye hivyo, kwa kweli najisikia vibaya lakini namwachia Mungu". alisema.
 
Picha za utupu zinazodaiwa kupigwa na Agness Msogange na kusambazwa na Sintah.
                                                                    

Labels:

J.B ; BONGO MOVIE HAIWEZI KUFA KAMWE..


KUNA tetesi kuwa Klabu ya Bongo Movie inayoundwa na baadhi ya mastaa wa filamu Bongo, inaelekea kusambaratika huku mwenyekiti wao, Jacob Steven ‘JB’ akiibuka na kusema umoja huo hauwezi kufa ila unahitaji kuombewa.

Madai ya awali yalisema Bongo Movie inapumulia mashine ikiwa ndani ya chumba cha wagonjwa mahututi kutokana na kutokuwa na uongozi bora.

“Mimi naweza kusema kuwa Bongo Movie haiwezi kufa tena inahitaji kuombewa sana kwa sababu sasa hivi ukiwataka wasanii wa filamu unawapata kirahisi kuliko wale wa muziki, pia tunainua vipaji vya chipukizi, nadhani hao wanaosema tumesambaratika washindwe na walegee kabisa,” alisema Jb.



Mwenyekiti wa klabu ya Bongo Movie, Jacob Steven 'JB'
                                                                                 

Labels: ,

Friday, August 3, 2012

HATIMAYE AMINI NA LINAH KURUDIANA..

                         
MSANII wa muziki wa kizazi kipya bongo, Amini Mwinyimkuu ‘Amini’, amedai kuwa anatarajia kutoa ngoma mpya ambayo atamshirikisha mpenzi wake wa zamani Linah, ingawa bado ngoma hajaipa jina.

Amini na Linah walikuwa wapenzi walioshibana lakini walikuja kuachana kwa amani na upendo, na sababu kubwa za kutengana kwao hakuna anayejua zaidi ya wao wenyewe.

Akizungumza na Bongo Mixx, Amini ambaye kwa sasa yuko bize na ngoma hiyo ili iwe ya kimataifa zaidi, alidai kuwa kutoka na mawazo ya watu kuwa yenye ana chuki na Linah, sasa ameamua kumshirikisha katika ngoma yake ili kuweka wazi na kufuta kauli za watu wenye nia mbaya.

Wakati huo huo Bongo Mixx ilimvutia Linah waya, nakudai kuwa naye alidai kuwa ameamua kufanya ngoma moja na Amini, kwani wao ni wasanii na wanahaki ya kushirikiana ingawa anaamini kuwa kuna watu baadhi ambao wanaamini wao bado ni wapenzi wakati ishu hiyo yamesha isha zamani.
                                     

Labels: , , ,

WEMA SEPETU “NAYAFANANISHA MAPENZI YANGU NA DIAMOND KAMA YA RIHANNA NA CHRIS BROWN…!!”


Jokate (kushoto), Diamond (katikati,) Wema(kulia)
                                                                   
                                                              
MSANII anayeongoza kwa ku-make headlines kwenye vyombo vya habari kila kukicha Wema Sepetu, amedai kuwa mahusiano yake yeye na mpenzi wake Nasseb Abdul ‘Diamond’, ni kama ya nyota wa marekani Rihanna na Chris Brown, huku akiamini kuwa kila kitu wanachokifanya kinakuwa kinafanana.

Wiki iliyopita Rihanna na Chris Brown, walioneka kwa nyakati tofauti huko St. Tropez, France wakila bata na kujiachia, ambapo hiyo pia imetokea kwa Wema na Diamond ambapo nao walionekana pamoja pande za Kigoma, Diamond alipoenda kwenye ziara ya Kigoma all stars inayoshirikisha wasanii wanaotokea mkoa wa kigoma.


Wema akiongea na Bongomixx alidai kuwa hakuna mtu anayeweza kumfanya ashindwe kula bata na mpenzi wake huo kwani anaamini kwa kufanya hivyo ndiyo njia moja wapo ya kuwakata vilimi wale wanaozungumza mabaya juu ya mapenzi yao.


Hata hivyo mwandishi wa habari hizi, alitaka kujua mipango yao ya baadaye juu ya mapenzi yao ambapo alidai kuwa juu ya hilo hawezi kuzungumzia kwani ni miezi kadhaa walikuwa katika matatizo hivyo bado wanakula bata na watakapofikia maamuzi ya kuvishana tena pete watafanya hivyo.


“Mapenzi yetu hayana matatizo kwani wanadamu kutofautiana hiyo ni hali ya kawaida, hivyo sioni kama kuna haja ya kuongea sana, na kitendo cha sisi kuonekana pamoja sehemu za bata kuna watu inawauma na sisi hatujali kwani kila mtu ana maisha yake,” alisema Wema.


Mbali na ishu hiyo pia, mwandishi alitaka kujua tena itakuwaje kwa upande wa Jokate, alijibu kwa upande wake hamuoni kama ni mtu wa maana kwani mapenzi yake hakuna wa kukatisha ingawa anaamini Jokate ni mtoto mdogo sana kwake.
Wana BongoMixx habari ndio hiyo, kumbe hata Bongo kama mamtoni..?

Labels: , ,

Monday, July 30, 2012

HEMED ATAMBA KUTEMBEA NA WANAWAKE 32..

Source: Bongo flava tz
Kwanza kwa kuanza ningependa kumshukuru Hemed Suleiman kwa kuwa mmoja kati ya wavaaji wazuri wa Single buttons ninazozitengeza... picha zote unaziona ni amevalishwa na Martin Kadinda..... turudi katika swala zima ambalo limenifanya kuandika Post hii.... Nilitaka kujua ni vijana wangapi watumiaji wazuri wa condoms hasa kwa vijana maarufu. Mtu wangu wa kwanza amekuwa Hemed Suleiman aliniambia: "we jamaa maswali gani hayo bana? mimi kondomu za nini? muda wote mimi nakwenda dry... akaongezea kuwa alikuwa katika mahusiano na msichana mmoja ambaye hajataka kumtaja na anasema kwa sasa wameachana imepita miezi 3... anasema aliwa kupima nae virusi vya ukimwi na walipojikuta wako safi wakaamua kujilipua kavu kavu....
Alinichosha na majibu yake ikanibidi nihamie katika swali la pili: ambapo nilimuuliza kama amewahi kuwa katika mahusiano na wasichana wa Kitanzania maarufu? 

                                           


SINA LA KUONGEZA HAPO.



HEMED: Marti Martin...... unauliza kengele kanisani??? unadhani kwanini naitwa Hemed PHD? nina taaluma ya kucheza na mioyo ya mabinti hawa wakibongo.... ila tatizo hawanivutii huwa napita tu kwakuwa nina hamu na wakati huo au ninakuwa sipo katika mahusiano na mtu yoyote....

MIMI: Duuh kwahiyo ushampitia nani hii..........?? na nanihiiii........??
HEMED: hilo sio swali... mpaka sasa nishawapitia 32... kwahiyo kuhusu majina katafute mwenyewe huko mtaani mbona stori zipo??

                                                         
                                                           

Labels: , ,

Saturday, July 28, 2012

Kim Kardashian affairs..


  Kim Kardashian was married to Damon Thomas

2000-2004

Kardashian was 20 years old when she married Damon Thomas, a producer. A heated divorce followed with Kardashian claiming Thomas physically and emotionally abused her.







Kim Kardashian dated Ray J
2005-2007
Kim Kardashian met Ray-J while he was working as a stylist for his sister, Brandy. The two are said to be on and off again for nearly three years before things ended for good. In 2007 their split got really messy when a sex tape they made was picked up for distribution by Vivid Entertainment. At first Kim denied rumours of the tape's existance but later settled with Vivid
for $ 5 million.


  

Kim Kardashian dated Nick Lachey

2006 - 2006
Nick Lachey briefly dated Kim Kardashian after his divorce from Jessica Simpson in 2006. They were photographed together a couple of times, holding hands.
Kim Kardashian dated Nick Cannon

September 2006 - January 2007
Kim Kardashian and Nick Cannon dated briefly in late 2006, but it's unclear just how serious things got before they called things off.

Kim Kardashian dated Reggie Bush

2007 - 2009
These two quickly became a power couple, with pictures of the very photogenic pair regularly filling the pages of gossip magazines everywhere.

Kim Kardashian dated Reggie Bush

October 2009 - March 2010
After reconciling, it seems they couldn't make it last. Rumors say that Bush's family had issues with Kardashian's somewhat checkered past.
 Kim Kardashian had a fling with Shengo Deane
2010 - 2010
Kim Kardashian had a fling with Australian bodyguard Shengo Deane, but it wasn't meant to last. The two crossed paths twice, with Kim seeming to put things to an end on an episode of 'Keeping Up with the Kardashians.'




Kim Kardashian had a fling with Cristiano Ronaldo

April 2010 - April 2010
The two had whirlwind romance, with paparazzi catching the two in a kiss outside a restaurant in Madrid.




 
Kim Kardashian dated Miles Austin
June 2010 - September 2010
Kim Kardashian seems to have a thing for football players, dating both running back Reggie Bush and, more recently, Miles Austin, a wide receiver for the Dallas Cowboys. They called it quits in September 2010, with sources say their crazy schedules made dating too difficult.





Kim Kardashian was rumored to be with Michael Copon
October 2010 - October 2010

Kim Kardashian and 'One Tree Hill' star Michael Copon were rumored to be dating in October 2010. They met back in 2006 while starring in 'Beyond the Break' and allegedly reconnected in NYC and began dating.






Kim Kardashian was rumored to be with John Mayer

October 2010 - October 2010

Kim Kardashian was spotted out with John Mayer on at least a couple of occasions in October, 2010, but it's unclear whether any romantic connection was made.


    

Kim Kardashian was rumored to be with Gabriel Aubry

November 2010 - December 2010
Kim Kardashian and Gabriel Aubry were seen at a Lakers game together in November 2010, and a source said they've been dating "a little bit." In early December, sources said the two split, mostly because Kim thought he was just using her for fame. Typical.

Kim Kardashian dated Kris Humphries

December 2010 - May 2011
Fresh off the heels of a breakup with alleged beau Gabriel Aubrey, Kim started dating yet another athlete: New Jersey Nets player Kris Humphries. Wouldn't it be weird to have a mom and boyfriend with the same name?



       
Kim Kardashian was engaged to Kris Humphries

May 2011 - August 2011
After six months of dating, NBA player Kris Humphries got on one knee and proposed to Kim with rose petals that spelled out "WILL YOU MARRY ME?" He presented her with a 20.5-carat, $2 million Lorraine Schwartz ring.


  
Kim Kardashian was married to Kris Humphries
August 2011 - October 2011
Kim Kardashian and Kris Humphries were married in a lavish wedding attended by some of the biggest names in Hollywood on August 20, 2011. 'People' magazine reportedly paid $1.5 million for exclusive rights to photos of the wedding. The two announced they were separating about 10 weeks later on October 31, 2011. 

Kim Kardashian is dating Kanye West
April 2012 - Present
After watching 'The Hunger Games' together, grabbing dinner at NYC eatery Serafina, and spending the day at FAO Schwarz in early April 2012, it became clear that Kim Kardashian and Kanye West were more than just friends. In May 2012, they spent a week in Cannes together for the city's annual film festival.

Labels: , ,