Thursday, August 16, 2012

EXCLUSIVE: "KAMA BUSHOKE AKINIZUNGUA, BASI NAITOA HII MIMBA" - JINI KABULA

Siku chache baada ya kuripotiwa amenasa mimba, mwigizaji anayewakilisha kundi la Scorpion Girls, Mariam Julwa aka JINI Kabula amemtaja mwanaume aitwae Bushoke kama ndio baba wa mtoto wake.

"Hii ni mimba ya miezi minne sasa, kama Bushoke hatakuwa na usumbufu wowote basi nitamzalia mtoto mzuri ambaye atatamba nae mitaani, lakini akinizingua, wakati wowote sikawii kubadilisha mawazo na kuichoropoa"

Labels: ,

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home