Saturday, August 4, 2012

MAMBO 10 YANAYOMFANYA MWANAUME AKOSE UAMINIFU..


Kutokuaminiana baina ya watu/ wapenzi siku hizi imekuwa ni kitu cha kawaida sana, vyombo vingi vya habari ikiwemo radio, television na mitandao ya kijamii vimekuwa vikiripoti sana matukio ya wapenzi kutokuwa waaminifu. Kwa leo sasa nataka kuzungumzia KWANINI WANAUME WANAKOSA UAMINIFU.

Wanaume  wote wanajua kwa kiasi kikubwa kuwa “udanganyifu” kwenye mapenzi si kitu kizuri wala si sahihi. Japo hata katika maandiko matakatifu tunaambiwa “USIZINI” tena wengi wetu wanasema kuibanjua “amri ya sita” na kweli bado wanabanjuka.
Kwenye mahusiano yasiyo imara au yenye mvurugiko, mara nyingi udanganyifu huwa ni suluhisho la muda mfupi la mwanaume, kwani huwa anafikiri kwa kuwa na mwanamke nje basi atakuwa amemaliza mvurugano wa ndani ya nyumba yake.

Hivi karibuni nimekuwa naongea na kudadisi wanaume ni nini kinawafanya wanakuwa wadanganyifu na zifuatazo ni sababu zao walizotoa.

1.      Mke kutojiachia kwenye mapenzi
Wanaume wengi wanalalamika kuwa wake zao hawajiachii wanapokuwa faragha. Unakuta mwanamke hataki kuonekana kama “kahaba” kwa mumewe hivyo kujikuta wana aina ya kufurahia lile tendo kwa ustaarabu na heshima nyingi na inakuwa kila siku ni hivyo hivyo. Wakati mwanaume anataka kila mara wajaribishe kitu kipya.
2.      Kufuata Mkumbo
Baadhi ya wanaume wanasema wanafanya hivyo ili kufanana na rafiki zao au watu wao wa karibu, kuna mwanaume anathubutu kusema amerithi kwa “babu” yake kwani naye alikuwa anapenda sana wanawake. Mwanaume mwingine anasema yeye rafiki zake wote wanapokuwa sehemu za starehe huwa na wanawake tofauti na wake zao hivyo na yeye inabidi kuwa na mwanamke ili kufanana na company yake kwani akistick kwa mkewe rafiki zake watamtenga.

3.      Kujiongezea Umaarufu/ (Kidume cha Mbegu)
Wanaume kuna wakati wanakuwa wanajaribu kuangalia soko lao likoje, unakuta mwanaume anaanza kuhofia kuwa umaarufu wake kwa wanawake unapungua hivyo anaanza kutongoza kila mwanamke aone anakubalika kiasi gani. Matokeo yake anapata wanawake kadhaa na kujikuta yupo mtegoni na tayari amejitumbukiza kwenye nyumba ndogo.

4.      Upenyo Kidogo Tu
Inawezekana mwanaume hakuwa na lengo la kuwa na mwanamke tofauti na mkewe, lakini unakuta huyu mwanaume labda ameenda bar au sehemu yoyote ya starehe na kukuta mwanamke amevalia mavazi yanayohamasisha ngono basi hapo mwanaume akijaribu kumpata huyu mwanamke na akafanikiwa ndio imetoka hiyo – “nyumba ndogo”.
5.      Karaha za Mke
Wanawake mara nyingine huwa ni sababu kubwa ya mwanaume kutafuta nyumba ndogo. Unakuta mwanamke ana mdomo, mumewe akifika tu nyumbani ugomvi umeanza, karaha moja kwa moja. Mume anatafuta suluhisho kwa kuondoka nyumbani kwenda kupumzika sehemu ili kupunguza karaha, kule anakoenda anakutana na mwanamke ambaye mara nyingi huwa wana mitego sana (kwa kuwa wanajua mwanaume akiwa bar peke yake basi anakuwa anakimbia maudhi ya mkewe)
6.      Wanawake wanawalegezea
Kiukweli wanawake wana huruma sana na ni wepesi wa kusamehe hasa kwa tabia mbaya za waume zao. Inawezekana na kwa kuwa na hofu ya kuishi peke yao au kwa kuwa huwa hawapendi kukuza mambo. Kuna wakati mwingine wanawake wengine huwa wanaweza hata kujilaumu wenyewe kwa waume zao kutokuwa waaminifu kwenye mahusiano na wao (wanawake) kuchukua hatua za ziada ili kuimarisha huo uhusiano kama huamini muulize Bill Clinton.

7.      Kazi na Maumbile
Maumbile ya wanaume mara nyingi hayawezi kuvumilia kwa muda mrefu bila kushiriki lile tendo, sasa iwapo mwanaume atakuwa na kazi ambayo itamlazimu kusafiri au kuwa mbali na familia ni dhahiri atajikuta keshavunja uaminifu.

8.      Uhuru Uliopitiliza/ Kutelekezwa
Mwanaume anaondoka asubuhi na kurudi usiku mwingi lakini mkewe wala hamuulizi alipotoka wala hata kujua mwenendo wake kwa ujumla, matokeo yake mwanaume anakuwa na muda mwingi na akishawishiwa na wanawake wa mabarabarani basi kwa kuwa muda upon a hakuna anayemuuliza ulikuwa wapi au utarudi saa ngapi basi anatumia uhuru wake kwa mambo yasiyo na manufaa.

9.      Ushawishi wa Wanawake
Dunia imeharibika na kuna wanawake wamejaa na kwa ubovu wa tabia zao unakuta hawajapata kuolewa hivyo wanabuni mbinu za kuchukua waume wa wenzao. Unakuta mwanamke anajua kabisa kuwa huyu ni mume wa mtu lakini atamganda hadi ajigandishe kwa huyo mwanaume. Katika hali ya kawaida mwanaume kushinda vishawishi au uchochezi wa mwanamke anayemtaka inakuwa ngumu, kwanza utaonekana si mzima maana mwanamke anajileta halafu umkatae, kila mwanaume (asiye na akili) atakushangaa.
10.  Kutokuwa na hofu ya Mungu
Ukiwa na hofu ya Mungu kamwe huwezi kufanya yasiyompendeza Mungu, wanaume wengi huwa hawana hofu ya Mungu na hiyo ndiyo sababu kubwa inayowafanya kuwa na uthubutu wa kufanya hayo kwa ujasiri na visingizio vingi.

HITIMISHO: Ewe mwanaume kama utaona huna mapenzi tena na mkeo wala hamuwezi kukaa na kujadili matatizo yenu ni bora kuwa muwazi ili kuangalia suluhisho kuliko kuwa na “mahawara”  Kumbuka kuwa udanganyifu si kitu chema mbele za Mungu. Kama si mwaminifu kwa mkeo ina maana humo ndani kwenu hakuna amani au kuna matatizo ambayo hamjayazungumza. Iangalie hiyo hali ya wewe kukosa uaminifu kwa jicho la tatu na utaona kuwa kukosa uaminifu ni tatizo kubwa zaidi kuliko hayo madogo ambayo yapo kati yenu na hamyazungumzii. Udanganyifu utakufanya ujisikie vizuri kwa muda lakini hakuna suluhu ya aina hiyo kwani tatizo la ndani mtakuwa hamjalimaliza hata kidogo.

Labels: ,

JE? UNAJUA SEHEMU ZINAZOMFANYA MTU ASISIMKE KATIKA MAPENZI..?

Kila binadamu na hisia na zake, nasema hivyo nikimaanisha kwamba unaweza ukamkuta mwingine wakati akiguswa shingo anashtuka hadi kudondoka mwingine wala hajishughulishi!!
 
Maisha ya mapenzi yanahitaji ufundi ili yaweze kuwa furaha ya maisha katika maisha yenu . La sivyo utajikuta unaibiwa km si kumkera mwenzi wako!
 
Wapendwa, kuwa katika mahusiano ya furaha aihitaji kwenda kwa waganga wa kienyeji au kuwa na bahati kama wengine wanavyodhani bali ni kujua unachohitaji kutoka kwa mpenzi wako na ufahamu jinsi ya kunfanya afurahi.

Naamini tendo la ndoa si kitu kigeni masikioni mwa watu wengi waliopo kwenye mahusiano halali. Tendo hili ni raha na ni kama uti wa mgongo katika maisha ya wapenzi, lakini kuna watu wapo kwenye mahusiano lkn hawalifurahii.
 
 
 Kuna watu wanafanya mapenzi katika mtindo ambao hauna tofauti.
                        




                                                          


na kubakana. Hivi uliwahi ona wapi Simba na Yanga wakacheza mechi bila maandalizi? hakika hakuna kitu kama hicho. kwa sababu hakuna anayetaka kucheza chini ya kiwango na kushindwa kuwapa burudani washabiki wao. 
 
Sasa wewe inakuwaje unacheza mechi bila kuwa na maandalizi? Wewe na mwenzi wako ni kama Simba na Yanga tofauti yenu ni kwamba wao wana washabiki wakati nyinyi ni wachezaji na pia ndio washabiki!

Best, tendo la ndoa linahitaji maandalizi na si kukurupuka kama vile wafanyavyo wacheza mieleka wawapo ulingoni! Kunvaa mpenzi wako na kuanza kula tunda hiyo haina tofauti na kubakana kwa sababu hakuna burudani itakayopatikana baina yenu!

Pia kuna watu wana uelewa mdogo juu ya suala la maandalizi kabla ya tendo la ndoa, wengi hudhani denda hutosha kuwa andalizi la tendo zima bila kujua kuwa, kama ni hesabu basi hiyo ni namba moja. 
 
Miili tuliyonayo kama ikitumika vizuri ni silaha tosha itakayonfanya kila mmojanwetu afurahie tendo la ndoa na kutamani kulirudia tena na tena. tatizo kuna baadhi yetu hawajui sehemu gani zinamsisimko zaidi katika miili ya wandani wao. 
 
Hivyo kujikuta wakishindwa kutumia sehemu hizo katika kupasha joto miili ya wapendwa wao kabla ya game, kama wewe ni mmoja wao basi hapa umepata tiba.
Usikae mbali kujua sehemu gani ya mwili wa mwandani wako yaweza kuleta msisimko....
 
SEHEMU  TATU   MUHIMU

Shingo
Ni kiungo ambacho kinaonekana kwa urahisi sana na pengine kutokana na hilo kuna baadhi ya watu huwa hawakitazami kama ni miongoni mwa viuongo ambavyo vina msisimko wa ajabu katika masuala ya malovee.

Katika swala la mapenzi shingo ni sehemu zenye 'stata' ya haraka sana katika kuamsha 'maruhani' ya mapenzi kea mpenzi wako. Unachotakiwa kufanya ukiwa na mpenzi wako falagha ni kuanza kuipapasa shingo yake taratibu kwa kutumia ncha ya vidole vyako, huku ukiwa makini ili usije mkwaruza na kucha ikiwa unazo ndefu, au unaweza kuwa unailamba kwa ustadi kwa kutumia ncha ya ulimi wako kama afanyavyo mbwa anywapo maji!

Kwa kuonyesha jinsi gani shingo ilivyo 'nuksi' katika kuleta usumbufu mtamu wa mapenzi katika mwili wa laazizi wako, utamuona anaanza kujipinda pinda kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa, huku kiwango chake cha kuhema kikiwa maradufu kikishabihiana na mtu mwenye jazba ya kupigana.

MASIKIO

Ndiyo, masikio haya haya tunayotumia katika kusikia, kwani nani alikwambia hayana kazi nyingine? Kama ulifikiri kazi yake ni kusikia pekee, karaga bao!kwa taarifa yako tu, wajanja katika suala la mapenzi wanakithamini sana kiungo hicho, unajua kwa nini?
 
 Aaah hapa hatukizungumzii katika umuhimu wake wa kusikia maongezi na taarifa muhimu.
 
Bali ni kwa sababu ni miongoni mwa makao ya 'undende' katika mwili, na mara tu uanzapo kupenyeza ulimi katika sikio la mpenzi wako, mara moja hali hubadilika huku zile sauti za kugugumia hudikika!


Masikio ni sehemu zenye msisimko sana katika mwili wa mpenzi wako, na hata kama alikwambia hajisikii ukianza tu kuingiza ulimi au hata vidole basi mwenyewe atahitaji 'dose' bila kulazimishwa!

Katika suala la tendo la ndoa aihitaji kufokeana wala kulazimishana, bali kugusa katika 'switch' mwenyewe tu 'atawaka' si unajua hata mgonvi aanzi kupigana pasi na hasira? Sasa unasubiri nini kuanza kumchokoza honey wako??

MGONGO

Nayo pia ni sehemu yenye msisimko sana ya kimapenzi ikiwa utakuwa makini katika kuitumia.



Labels: ,

ROMA APATA AJALI MBAYA AKIELEKEA MORO KWENYE SHOW..

Muda mchache uliopita msanii wa kizazi kipya kwenye bongo hip hop ROMA amepata ajali mbaya barabara ya Morogoro. Roma anasema alikuwa yupo kwenye mwendo wakawaida ndio tairi la mbele lilipopata pancha na ndipo gari likaacha njia yake na kwenda kugongana uso kwa uso na fuso ambalo lilikuwa upande wa pili na gari hilo dogo alilokuwa akiendesha Roma kurudi lilipotokea.
Roma ananiambia kwa sasa anaelekea Hospital kwa check up zaidi ila aliokuwa nao kwenye gari hakuna aliyeumia wote ni wazima.

Roma akimwelezea police wa usalama barabarani kilichotokea mpaka kupata ajali hiyo mbaya.

Huyu ni mmoja kati ya marafiki wa Roma aliyekuwa nae kwenye gari wakielekea Morogoro kwenye show




                                                                               

Labels:

AGNESS MASOGANGE: SINTAH NDO MTU ALIYESAMBAZA MKANDA WANGU WA XX


Mrembo 'Classic'  Agness Gerald 'Aggy Masogange' anayeng'arisha nyota yake kupitia viedo za wasanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, amemtupia zigo la lawama mwigizaji Christina Manongi 'Sintah' kufuatia kuvuja kwa mkanda wa video unaomuonyesha akiwa mtupu.

katika mahojiano aliyoyafanya na kituo kimoja cha redio Bongo, Aggy, amefunguka kuwa akiwa safarini nje ya Bongo alipewa taaraifa za kupotea kwa Digital Camera ambayo anadai ndiyo ilitumika kurekodia video hiyo na baada ya uchunguzi kufanywa na watu wake wa karibu iligundulika kuwa mwigizaji huyo ndiye anahusika na kupotea kwa kamera hiyo huku pia akidai ndiye aliyefanya kazi ya kusambaza video hiyo kwenye vyombo vya habari na mitandao kadhaa.

"Nilipewa taaraifa ya kupotea kwa kamera hiyo, nina hakika atakuwa sintah ndiye aliyefanya kazi ya kuisambaza, awali nilitaka kuchukua hatua juu ya jambo hilo lakini nikashauriwa na watu wangu kuwa nisifanye hivyo, kwa kweli najisikia vibaya lakini namwachia Mungu". alisema.
 
Picha za utupu zinazodaiwa kupigwa na Agness Msogange na kusambazwa na Sintah.
                                                                    

Labels:

J.B ; BONGO MOVIE HAIWEZI KUFA KAMWE..


KUNA tetesi kuwa Klabu ya Bongo Movie inayoundwa na baadhi ya mastaa wa filamu Bongo, inaelekea kusambaratika huku mwenyekiti wao, Jacob Steven ‘JB’ akiibuka na kusema umoja huo hauwezi kufa ila unahitaji kuombewa.

Madai ya awali yalisema Bongo Movie inapumulia mashine ikiwa ndani ya chumba cha wagonjwa mahututi kutokana na kutokuwa na uongozi bora.

“Mimi naweza kusema kuwa Bongo Movie haiwezi kufa tena inahitaji kuombewa sana kwa sababu sasa hivi ukiwataka wasanii wa filamu unawapata kirahisi kuliko wale wa muziki, pia tunainua vipaji vya chipukizi, nadhani hao wanaosema tumesambaratika washindwe na walegee kabisa,” alisema Jb.



Mwenyekiti wa klabu ya Bongo Movie, Jacob Steven 'JB'
                                                                                 

Labels: ,

CHEKA KWA STEPS...

Kanye west kushoto akiwa na T.shirt ambayo baadaye ilikuwa mtumba nakunvaliwa na huyo dada wa kiafrica












Labels:

*** Play gal – 56 (Revenge)



Ilipoishia…

“..ama nife mimi Tina..!, au Jerry..! sitamrudisha huyu mtoto kamwe..!!”
Nilijisemea kwa sauti ya chini chini huku nikitokomea mpaka kwenye geti la nje kabisa na nilipofika nje kabisa ndipo kwa mbaali nikasikia tangazo kuwa kuna dada ametoroka na mtoto na amevaa suruali ya jinsi akiwa na mkoba mweupe. Eti akamatwe popote alipo humu ndani ya stendi..
“..It’s too late Jerry..!! (Jerry umeshachelewa..!!)”
Niliongea kwa kujidai huku nikipanda dalaladala yakuelekea Mbagala na nisijue naenda kwa nani na wala itakuwaje huko nieandapo na huyu mtoto..

Sasa endelea…

Ile hali ya woga na kutetemeka ilishaanza kutoweka  ndani ya akili na mwili wangu kwa ujumla.  Na sasa akili yote nilikuwa nimeielekeza ni jinsi gani nitaishi na huyu mtoto huko niendako. Nilijiona mtu tofauti sana kutokana na kuwa na mtoto japo si wakwangu lakini kwa jinsi nilivyokuwa nambembeleza akilia hata akicheka. Nilikuwa nacheka naye kila abiria allikuwa akinishangaa nakuona ni jinsi gani nilivyokuwa na kipenzi na mtoto wangu japo ukweli si mtoto wa kumzaa mimi. Ilinichukuwa kama lisaa mpaka kufika Temeke. Japo daladala ilikuwa inaelekea mbagala lakini kwa upande wangu kutokana na  kuchoka sana mwili na pia mtoto alikuwa kashajisaidia hivyo nilitakiwa nimbadilishe nguo nikaamua kushukia Temeke nakutafuta gesti ya bei nafuu uswahilini.




*******



‘Mji mwema guest house’ ndio gesti niliokuwa nimefikia Tina mimi na huyu mtoto wa Jerry niliomuiba. Kwa sasa alikuwa amelala hivyo nilipoingia tu chumbani nilimvua nguo zote kisha nikaifungasha vizuri ile pampasi yake iliyokuwa imejaa kinyesi pamoja na mkojo nakuiweka katika mfuko wa rambo nakuvitupia kwa pembeni. Nilipomaliza kumsafisha nilichukuwa pampasi ya akiba ambayo ilikuwa katika huu mkoba mkubwa niliouchukuwa kwa mama yake na huyu mtoto.
Usingizi ulikuwa wa shida sana kwangu nadhani hii yote ni kutokana na kuchoka sana mwili na hata akili yangu. Mawazo mengi niliokuwa nayo na mipangilio yangu ya baadaye kuhusu huyu mtoto ni kati ya vitu ambavyo bado vilisumbua sana katika halmashauri ya kichwa changu. Nilifanikiwa kuupata usingizi kwa tabu sana na nilipokuja kushtuka usiku wa manane napo sikuwa na saa wala simu hivyo sikuweza kugundua imetimia muda gani lakini giza bado lilikuwa ni tororo. Mtoto alikuwa anakoroma kuashiria kuwa alikuwa na usingizi sana. Nilitamani japo kupata tena usingizi kwa mara ya pili lakini bado kichwa changu kikaendelea kuwa na mawazo mgando ya kumuwaza Jerry kwa vitendo alivyowahi kunifanyia kipindi cha nyuma.
“..Piga ua.! Lazima nije kumtafuta Jerry na nimuue kabisa kwani adhabu ya kumchukulia huyu mtoto wake haitoshi.. yeye ndio aliofanya mpaka nimepoteza ramani ya maisha yangu kwa ujumla..”
Nilijikuta naropoka mwenyewe kitandani nakufanya mpaka mtoto ashtuke nakuanza kulia. Nilimtoa pale kitandani nakuanza kumbembekleza lakini haikusaidia kitu zaidi ya kuzidisha kulia zaidi. Nilimchukulia japo ile nyonyo yake ya kunyonyea maziwa ambapo ilibakiwa na vimaziwa kidogo alivyokuwa amevihifadhi mama yake kwenye mkoba lakini bado haikusaidia kitu chochote. Machozi yalikuwa mengi sana nakunisisimua mwili mzima kila nilipokuwa nikimwangalia huyu mtoto. Alibadilika mwili nakuwa mwekundu kutokana na kulia kwa muda mrefu. Nilijitahidi kumbembeleza hata kwa kutoa maziwa yangu nakumdanganyishia kama namnyonyesha  ndipo akanyamaza nakuanza kunyonya maziwa yangu ambayo kiukweli hayakuwa yakitoa chochote.
“..Sasa huuuuyu mtoto nimuite jina gani..?”
Nilibaki nimeduwaa mwenyewe huku nikijisikia raha kwa kunyonywa maziwa yasiotoka na kale katoto mpaka akapitiwa tena na usingizi. Nilijiuliza maswali mengi sana juu ya jina la huyu mtoto kwani Jerry mara ya mwisho alimuita Mama yake na huyu mtoto ‘Mama Brayan’ hivyo moja kwa moja huyu mtoto ndio atakuwa ‘Brayan’. Lakini kwa upande wangu inanibidi nimbadilishe jina huyu motto haraka iwezekanavyo.
“..Adrian..!!, Adrian..!! yeees..! nitamwita Adrian tu haina hata ulazima wa kumuita jina la nyumbani kwetu kwani mtoto si damu yangu..?”
Niliongea kimoyomoyo huku nikijitandikia vizuri shuka nakujilaza tena kitandani tayari kwa kuutafuta usingizi kwa mara ya pili.


~ BAADA YA WIKI TATU ~


Mtoto Adrian nilishamzoea na nilishamchukulia kama moja ya mtoto wangu wa kumzaa. Pale gesti wahudumu wote wakajua ni mtoto wangu na hata wakanipa jina la Mama Adrian. Uchangamfu wangu wa kuongea na kila mtu ni kati ya vitu ambavyo viliwavutia wengi. Zile hela ambazo nilizichukuwa kwa Mchungaji James nilipomuua kwa sasa zikawa zimeniishia, si kwa kula tu bali hata kwa matumizi ya huyu Adrian. Ilifika kipindi natumia hadi elfu kumi na tano kwa ajili ya matumizi ya mtoto tu. Ilinibidi kila siku niwe na pampasi tatu hadi nne na kopo zima la maziwa ya ng’ombe kwa ajili ya kumnywesha. Sikutaka kujihusisha na marafiki wa mbali nahii gesti kwani niliamini ndipo kujulikana kwangu mpaka kwa Jerry. Habari za nyumbani kwa Baba na Mama yangu sasa nikawa nimezisahau kabisa. Nilianza maisha ya kujitegemea mimi kama mimi tena bila ya kuwa na msaada wowote huku asililimia mia nikiamini endapo baba au mama yangu akagundua kuwa sipo chuoni muda mrefu ataumia sana. Sasa akili yangu yote nikaielekeza katika kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti ili tu nipate chochote cha kuniwezesha kujikimu mimi na huyu Adrian. Kuna kipindi nilikubali hata kuingiliwa kinyume na maumbile ili mradi tu nipate chochote na hata wanaume wengine walikuwa wananiingia hivi hivi bila hata ya kutumia kondomu na hata kunilipa.
Siri kubwa tatu ndizo zilikuwa zimekaa kichwani mwangu kama sheria na kiapo cha  kutokumwambia mtu yeyote mpaka mwisho wa uhai wangu. Siri ya kwanza ni juu ya huyu mtoto si wangu ila wote wanatambua kuwa ni wangu. Siri ya pili ni kuwa hapa nilipo nimejificha na nilishawahi kufanya mauaji hivyo ni wazi natafutwa huko Mwanza na pia natafutwa na Jerry na mkewe juu ya huyu mtoto wao niliotoroka naye. Na siri ya mwisho inayoniumiza sana akili yangu ni juu ya ugonjwa huu wa ukimwi. Ni kweli nimeathirika japokuwa dalili zake sijazipata bado lakini mara ya mwisho niliambiwa hospitali kuwa nimeathirika. Na ndio siri iliyonifanya hata nishindwe kuendelea na masomo kwa kuchanganyikiwa na pia hata niwafiche ndugu, wazazi hata na marafiki zangu wote wanaonifahamu.
“..Binti leo nina buku tano tu..”
“..Twende tu haina shida ila tunatumia kondomu..”
“..aanhaa..!!, kondomu ya nini..?”
“..hheee..!!, we vipi..? basi niongezee ziwe elfu kumi twende bila kondomu..”
Alikuwa ni mzee mzima kabisa ambaye ana uwezo hata wa kunizaa, na kwa muda huu alikuwa meshazoea kuja kufanya mapenzi na mimi kwa kutumia kondomu sasa leo naona kaja kivingine kabisa na anataka twende naye bila kutumia kinga. Tulikubaliana naye nakuelekea mpaka chumbani kwangu nilipopanga ambapo nilimchukuwa Brayani nakumlaza chini kisha nikapanda kitandani nakuvua nguo zangu zote nakubakiwa na shanga tu kiuononi kwa ajili ya kuwadanganyishia wanaume wapenda ngono.
“.. haya nipe changu kabla..?, huna navaa nguo hakuna kufanya chochote..?”
“..hilo tu..! ondoa shaka..!!”
Yule mzee hakuwa mbishi, alichomoa noti ya shilingi elfu kumi nakunipatia. Niliichukuwa nakuiweka kwenye nguo za Adriani pale chini kisha nikamfuata huyu mzee mpaka kitandani. Nilianza kwa kumchezea kifuani kwake. Hakutaka kuchezewa sana kwani haja yake nikufanya tu mapenzi  na mimi hivyo akajiandaa tayari kwa kufanya mapenzi. Akiwa kishavua nguo zote mara tukasikia mlio wa simu yake ikiita..
“.embu naomba simu yangu hapo kwenye suruali..”
Alinituma nimtolee simu yake. Haraka haraka nikainuka na kwenda kumtolea na kisha kumkabidhi.. ile nampa tu simu ikakatika. Akaiangalia namba nakuizima kabisa kisha akanigeukia kwa tabasamu nakuanza kufanya mapenzi na mimi. Nilimuonea huruma sana kwakuwa nimeshaathirika hivyo nilimuona kuwa naye anapoelekea ni huko huko. Kutokana na tamaa zangu za pesa hata sikutaka kumzuia alifanya atakavyo na alipomaliza tu cha kwanza.
“..unataka kuongeza..?”
Nilimwambia kwa sauti ya taratibu na ya kimahaba huku nikimrembulia macho. Yule mzee alitaka tena hivyo akachukuwa suruali yake akaniongeza elfu kumi nyingine napo tukaanza tena kufanya mapenzi kwa mara ya pili. Tukiwa katikati ya mapenzi mara mwanangu Adrian akaanza kulia kwa sauti yake ya juu. Sikutaka kumbembeleza mpaka nimalizane kwanza na huyu mzee. Hivyo tukaendelea tena lakini kwa safari hii mwanangu Adriani ni kama alikuwa amezidisha kulia kwa sauti ya juu. Bado sikutaka kwenda kumbembeleza. Tukiwa tupo katikati ya mahaba mara  tukasikia hodi inapigwa Mlangoni kwangu. Ilipiga kwa nguvu kuashiria kuwa mtu anahasira au anataka kitu cha haraka. Hakukuwa na sauti nyingine yeyote zaidi ya kulia sana kwa mwanangu Adrian na yule mtu kuendelea kupiga hodi kwa nguvu. Nilichokifanya nilimfanyia yule mzee ishara ya kumnyamazisha kwa kutumia kidole changu kukiweka mdomoni, kisha nikamchukua mwanangu Adriani hivyo hivyo akiwa analia nakumtupia uvunguni mwa kitanda na baada ya hapo nikaelekea moja kwa moja mpaka mlangoni tena kwa kujiamini huku nimejifunika khanga nakuufungua mlangu nusu.
“eenhe unasemaje..?”
Uso wangu kwa sasa ukawa umekutana moja kwa moja na Mmama ambaye sura yake si ngeni kabisa machoni mwangu huku akibubujikwa na machozi yalioambatana na kwikwi na nilipomuuliza tu kuwa anasemaje. Pale pale alinisukuma nakuingia mpaka chumbani kwangu kwa nguvu…




*** Unavyodhani huyo Mama nii yupi..? Na Tina atafanyaje..?


*** Nini hatma ya Tina kimaisha..?

*** Usithubutu kusimuliwa story hii ndio kwanza imeanza kunoga kwani mwisho wa hii ya 56 ni mwanzo wa  57..
**Jiandae kujua kilichompata Tina ndani ya Play gal – 57

~~~ Itaendelea~~~

Labels:

Friday, August 3, 2012

HATIMAYE AMINI NA LINAH KURUDIANA..

                         
MSANII wa muziki wa kizazi kipya bongo, Amini Mwinyimkuu ‘Amini’, amedai kuwa anatarajia kutoa ngoma mpya ambayo atamshirikisha mpenzi wake wa zamani Linah, ingawa bado ngoma hajaipa jina.

Amini na Linah walikuwa wapenzi walioshibana lakini walikuja kuachana kwa amani na upendo, na sababu kubwa za kutengana kwao hakuna anayejua zaidi ya wao wenyewe.

Akizungumza na Bongo Mixx, Amini ambaye kwa sasa yuko bize na ngoma hiyo ili iwe ya kimataifa zaidi, alidai kuwa kutoka na mawazo ya watu kuwa yenye ana chuki na Linah, sasa ameamua kumshirikisha katika ngoma yake ili kuweka wazi na kufuta kauli za watu wenye nia mbaya.

Wakati huo huo Bongo Mixx ilimvutia Linah waya, nakudai kuwa naye alidai kuwa ameamua kufanya ngoma moja na Amini, kwani wao ni wasanii na wanahaki ya kushirikiana ingawa anaamini kuwa kuna watu baadhi ambao wanaamini wao bado ni wapenzi wakati ishu hiyo yamesha isha zamani.
                                     

Labels: , , ,

WEMA SEPETU “NAYAFANANISHA MAPENZI YANGU NA DIAMOND KAMA YA RIHANNA NA CHRIS BROWN…!!”


Jokate (kushoto), Diamond (katikati,) Wema(kulia)
                                                                   
                                                              
MSANII anayeongoza kwa ku-make headlines kwenye vyombo vya habari kila kukicha Wema Sepetu, amedai kuwa mahusiano yake yeye na mpenzi wake Nasseb Abdul ‘Diamond’, ni kama ya nyota wa marekani Rihanna na Chris Brown, huku akiamini kuwa kila kitu wanachokifanya kinakuwa kinafanana.

Wiki iliyopita Rihanna na Chris Brown, walioneka kwa nyakati tofauti huko St. Tropez, France wakila bata na kujiachia, ambapo hiyo pia imetokea kwa Wema na Diamond ambapo nao walionekana pamoja pande za Kigoma, Diamond alipoenda kwenye ziara ya Kigoma all stars inayoshirikisha wasanii wanaotokea mkoa wa kigoma.


Wema akiongea na Bongomixx alidai kuwa hakuna mtu anayeweza kumfanya ashindwe kula bata na mpenzi wake huo kwani anaamini kwa kufanya hivyo ndiyo njia moja wapo ya kuwakata vilimi wale wanaozungumza mabaya juu ya mapenzi yao.


Hata hivyo mwandishi wa habari hizi, alitaka kujua mipango yao ya baadaye juu ya mapenzi yao ambapo alidai kuwa juu ya hilo hawezi kuzungumzia kwani ni miezi kadhaa walikuwa katika matatizo hivyo bado wanakula bata na watakapofikia maamuzi ya kuvishana tena pete watafanya hivyo.


“Mapenzi yetu hayana matatizo kwani wanadamu kutofautiana hiyo ni hali ya kawaida, hivyo sioni kama kuna haja ya kuongea sana, na kitendo cha sisi kuonekana pamoja sehemu za bata kuna watu inawauma na sisi hatujali kwani kila mtu ana maisha yake,” alisema Wema.


Mbali na ishu hiyo pia, mwandishi alitaka kujua tena itakuwaje kwa upande wa Jokate, alijibu kwa upande wake hamuoni kama ni mtu wa maana kwani mapenzi yake hakuna wa kukatisha ingawa anaamini Jokate ni mtoto mdogo sana kwake.
Wana BongoMixx habari ndio hiyo, kumbe hata Bongo kama mamtoni..?

Labels: , ,

HATIMAYE MRISHO NGASSA AKABIDHIWA JEZI NAMBA 16 NAKUANZA MAZOEZI LEO..

Mchezaji mpya wa timu ya Simba, Mrisho Khalfan Ngassa hivi leo asubuhi ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wa timu ya Simba.
Bongomixx ilimfuatilia kwa ukaribu nakugundua kuwa, mrisho Ngassa akiwasili na Gari yake ambayo alipewa kama aina mojawapo ya uhamisho kutoka timu ya Azam ambayo alikuwa akiichezea hapo awali.
Mchezaji mpya wa timu ya Simba, Mrisho Ngassa (kushoto) akitoka mazoezini hivi leo asubuhi.



Mrisho Ngassa akiwa ndani ya gari yake aliyokabidhiwa na timu ya Simba.
                                                                       
                                                                    

Labels: ,

Thursday, August 2, 2012

KWELI MLEVI MLEVI TU..


Jamaa kaingia bar

Jamaa :Mhudum nipe kinywaji na mpe kila m2 humu ndan kinywaji maana wakati napata kinywaji lazima kila m2 apate kinywaji
haraka sana mhudum akagawa vinywaji
Jamaa: Mhudum nipe supu na kila m2 mpe supu maana ninapo kunywa supu kila m2 lazima anywe supu
Wa2 wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi

Jamaa: Mhudumu nipe bili na kila m2 mpe bili yake maana wakati nalipa bili yangu kila m2 lazima alipe yake
zogo lilianza hapo!! AAAAAAAAHHHHH

Labels:

KWELI WAKULIMA WASHAMBA..


Mchezo wa Karata na slang zake siyo ujue...!
Sasa sikia hii:
Jamaa fulani walikuwa wakicheza karata porini,mara wakapita wakulima,wakasikia sauti ikisema,
"Weka jembe chini"
...Wakulima si wakaweka majembe yao chini! Mara tena,
"Weka kisu"
...Masikini wakulima hawa wakaweka tena visu vyao chini...! "Naomba kopa"
,wakaangaliana,hawana kopa...!
..."Weka mavi chini",
ikabidi mmoja wao anye palepale! Mara wakasikia tena,
"Kama huna mavi lamba",
ikabidi yule ambaye hajanya alanmbe ya mwenzake! 

>>Mara wakasikia ,"GAME OVER",wakashtuka khaaahh,kumbe kulikuwa na watu wanacheza karata!!!

Labels:

MFALME NA JAMAA..


Mfalme mmoja aliwaita watu kijijini akasema shujaa atakayeogelea kwenye hili bwawa la mamba nampa binti yangu mara akasikia PWAAA!jamaa kajitosa kaogelea mpaka upande wa pili mfalme akasema nitakupa binti yangu na mali jamaa akasema
"SITAKI BINTI YAKO WALA MALI NAMTAKA MTU ALIYENISUKUMA KWENYE BWAWA ATANITAMBUA LEO!"

Labels:

JAMAA NA MPENZI WAKE

Kuna jamaa mmoja alitaka kumjaribu mpenzi wake anayeishi mkoa mwngne akamuandikia barua na kumuambia
"Nimempata mpenzi mwingine wewe sikutaki tena kwa hiyo naomba unirudishie picha yangu niliyokupa. Bac yule dada alilia sana kwa uchungu,ili naye kumkomoa mpenzi wake huyo alitafuta picha za wanaume mia moja hivi na kumtumia jamaa na kumueleza:
"Samahani nimekusahau, hebu tafuta picha yako katika hizo kisha unirudishie maana zingine ni za mabwana zangu
.Jamaa kwa uchungu akaamua kujinyonga,plz guyz take care na wapenz wenu

Labels:

BINTI ANATAKA KUOLEWA...

Binti kaenda kumuona mtaalamu
wa mahusiano.
Maongezi haya hapa mwanawane:

Binti: Naomba unisaidie kupata mchumba.
Mtaalam: Unataka mwanaume wa aina gani?
Binti: Nataka awe mchangamfu, awe anaweza kunihadithia stori tamtamu siku nzima, awe na uwezo wa kuniliwaza na kunibembeleza, asitoke ndani na asiwe mbishi.
Mtaalam: Sawa, olewa na redio. ndio ina mambo yote hayo

Labels:

EMMANUEL OKWI HATIMAYE AMEFUZU KUCHEZA ULAYA..

Aliyekuwa mchezaji hatari wa timu ya Simba, Emmanuel Okwi.
      
Bongomixx imefanikiwa kupata taarifa juu ya aliyekuwa mchezaji hatari wa timu ya Simba sports club  Emmanuel Okwi kuwa amefuzu majaribio yake ya kucheza mpira katika timu ya FC Red Bull Salzburg ya Austria na inasubiriwa majadiliano ya uhamisho wake na Klabu yake ya sasa Simba Sports Club. Bado haijajulikana Simba watavuta dau gani kutokana na kumuuza Okwi tutakujulisha habari zaidi zikipatikana..

Labels:

HOW TO SOLVE A FIGHT WITH YOUR SWEETIE..

                                                                                
Every relationship has its problems, as no relationship is perfect. Fighting between lovers is inevitable, as disagreements are bound to arise as the relationship grows deeper and more intimate. But it does not have to end over a disagreement. There are a few ways, however, to resolve such conflicts without having to throw in the towel and break up.

When the disagreement ignites and words are exchanged, usually the couple may feel inclined to solve the problem right then in there. This, in fact, is not always the wisest idea because when tempers are flaring, thinking and decision making becomes more sporadic and irrational, making for poor outcomes. Instead, take a breather. Go your separate ways for a few hours, get some coffee, or take a walk. Clear your head and really just think about the problem and sort it out with yourself. Once you have worked out your inner conflict then you can work out the conflict with the other person.

ALWAYS REMEMBER:

A. It is very important to listen and communicate effectively. When you ask your partner why he or she is angry, do not interrupt them when they answer, even if what they are saying may be exaggerated, or even completely false. Listen to everything they have to say, think of your response, and then respond quickly. Showing emotion is important, as it proves you are human. But going off the wall over miscommunication or misunderstanding is a good way to end the relationship instead of the conflict.

B. If the fight gets bad enough and you are trying to make decisions, do not begin thinking of all the other times your partner has offended you. That is like trying to put out a fire with petrol. What you should do is think of all the times he or she has proven their love to you, or has gone out of their way for you. Think of how you feel about them as a whole rather than at that very moment. The goal is to harvest forgiveness rather than breed resentment.

C. Stop yelling at and and shouting at each other in the course of talking about the problem. You must both agree to respect the opinions of each other.

D. You and your partner should never keep a running tally of wins and losses in your negotiations. Sadly this is one of the biggest mistakes that couples make. Most people will not admit this out loud, but the are keeping score internally, just waiting for the day they finally get to win the argument.
Compromise is not a sign of personal weakness.


E. Avoid harsh language. Even though you may be right, you may not get your way if your method of communicating is not effective. It will do you no good to put your partner on the defensive right away with accusatory language. Sure, this technique may intimidate and belittle your partner into backing down, but you will also make them angry and resentful of your ways. Every time you or your partner call each other stupid or an idiot, a little bit of your relationship gets destroyed in the process. On top of that, the original problem will get lost in a storm of abuse, and nothing gets solved.

F. Avoid the words or else. You better come home early tomorrow, or else. But the real question should be: Or else what? What will you really do if your partner ignores your request? How will you retaliate? The problem with this choice of words is that very few people respond favorably to a threat and will actually do the opposite just to show that they won't be forced into a specific action.

G. Set the right stage for discussion and negotiation of the problem. There is a correct time and place to work on your problems. it should be a location that is both quiet and comfortable. It should not be in public or at home of a friend. Forgetting to set the scene is a crucial blunder made by a lot of couples.

H, Solve the problem as soon as it arises. Many people try to solve a problem when the partner has made a big blunder after about 100 mistakes. But by then it IS simply too late. The longer you allow your partner to get away with unacceptable behavior, the harder it will be to have any power to get them to stop. If you hold your tongue and just hope that your partner will change on their own, do not complain that you never get what you need.

I. Call a break in the discussion. When you and your partner have been sitting there for hours still talking without a compromise, it may be time to call it quits for the time being and readdress the problem again later. When you both get tired and start to go round and round, it is acceptable to say, How about if we agree to disagree for now and pick up our discussion later when we are both fresh?

J. Finally, Say Iam sorry if you act in a disrespectful or hurtful way toward your partner. This one is short and sweet. You are not perfect. Once in a while you may unintentionally or intentionally hurt the feelings of your partner. So swallow your pride, apologize and ask for forgiveness. By the same token, you should also expect an Iam sorry from your partner if your feelings were hurt by disrespectful behavior.

I have now armed you with some very important negotiating and compromising tools to use in any disagreement. Please put them into good use.

Relationships can be challenging at times, but with a little communication, listening, and self recognition, they can be very successful.

TAKE CARE..

Labels:

WHY WOMEN LOVE TO HOLD AFTER MAKING LOVE AND MEN DONT




  WHY WOMEN LOVE TO HOLD AFTER MAKING LOVE AND MEN DONT by John Karani
Regardless of whether it is a long term or short term relationship, most females are more likely to want to engage in intimate, bonding behavior, following the act of making love than their male partners. In most case, you find that Women want to talk after mating, men want to fall asleep immediately or get out of bed to do something else. Ladies will love to have intimate talk, kiss, cuddle and caress and also profess their love for their partner and talk about the relationship after sex. Men on the other hand will try to avoid such behaviors as much as possible. Men also love to initiate kissing before sex, while for the ladies, they love doing it after the act.

WHY MEN DONT LIKE CUDDLING AFTER SEX

I know for many ladies, it can be very frustrating that after making love, your man goes to sleep immediately, while u prefer to get in a good cuddle session first. The reason for this is all about the hormones his brain releases after sex. When a man has an orgasm, a variety of brain chemicals are released including the hormone prolactin. Prolactin has a strong connection to sleep so its presence is probably responsible for the man having the tendency to want to sleep after sex. The release of prolactin also indicates the beginning of the recovery time that men have to take before having sex again. Women often do not require any such time out after having an orgasm.

SO WHY DO LADIES LOVE TO CUDDLE AFTER SEX?

1. Cuddling after the act is a way for women to secure a lasting bond.

2. Sex leaves her feeling vulnerable. Every woman wants to feel loved even after a few hours of uninhibited animal sex. She wants to know that she is adored by the man she slept with.

3. Cuddling after sex turns into emotional release for the lady. Having an orgasm during sex is satisfying, but the emotional gratification is not complete without some romantic cuddling after sex.

4. Unlike many men, Women are capable of multiple orgasms, but do not always come one after another during sex. Sometimes, a woman needs to recuperate and recharge her physical and emotional batteries by cuddling before going for it again.

5. Cuddling after sex is a way for the lady to say let us talk. Women treat sex like an intimate date, which means conversation before and after sex.

6. I know most guys would rather turn over and hit the sleep button right after love making, but trying to stay awake to hear her talk about her day is recommended even if its for 5 minutes.

HAVE A GREAT CUDDLING TIME. MWAAAAH

Labels:

Wednesday, August 1, 2012

AZAM WAMTIMUA KOCHA WAO..

Aliyekuwa kocha wa timu ya Azam Fc Stewart Hall




                                                                                     

Klabu ya Azam FC inapenda kutoa taarifa kuwa mkataba wake na kocha Stewart John Hall kutoka nchini uingereza ulisitishwa rasmi jana Tarehe 31/07/2012 kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Klabu ya Azam FC inajivunia mafanikio ya kocha Stewart Hall, na inampongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya katika muda wote aliofanya kazi kama kocha mkuu na mkurugenzi wa ufundi.
Chini ya Stewart Hall, Azam FC ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Mapinduzi Cup, Kushika nafasi ya pili katika ligi kuu, Mashindano ya Urafiki na Kombe la kagame. Haya ni mafaniko ambayo hayajawahi kufikiwa na makocha wote waliotangulia na ni mafaniko ya kihistoria katika klabu ya Azam FC.
Azam FC inamtakia kocha Stewart Hall kila la heri, na inatarajia kuwa ipo siku katika siku za usoni kocha Stewart atarudi tena kufanya kazi na Azam FC.
Stewart Hall anaacha changamoto kubwa sana kwa mrithi wake ambaye atatangazwa hapo baadaye lakini kizuri ni kuwa, mrithi wa Stewart Hall atakuwa ni mwalimu anayefuata mfumo ule ule wa uchezaji ulioachwa na Stewart Hall kwani hiyo ndiyo (Playing Philosophy ya Azam FC)
Kwa sasa timu itakuwa chini ya Vivek Nagul na Kally Ongala
Imetolewa na Utawala
Azam FC

                                      

Labels:

MWANAHALISI WAELEZEA SABABU ZA KUFUNGIWA GAZETI LAO..




                                                                         

Siku moja baada ya Serikali kutangaza kulifungia kwa muda usiojulikana gazeti la kila wiki la MWANAHALISI linalochapishwa na kampuni ya Hali Halisi Publishers kutokana na kulituhumu kuandika habari za uchochezi na zinazoleta hofu, Uongozi wa gazeti hilo umezungumza.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo Said Kubenea amesema kimsingi hawakupokea barua rasmi kutoka Serikalini inayowataka kusitisha zoezi la kuchapisha gazeti hilo na badala yake hizo taarifa wamezipata kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
Kubenea amesema hawakubaliani na madai ya serikali kwamba gazeti hilo limekua likiandika habari za uchochezi na kusisistiza kwamba habari yeyote inayoandikwa katika gazeti hilo ni lazima iwe imefanyiwa uchunguzi wa kina na kamwe gazeti hilo halikuwahi kukurupuka na kuandika habari isiyo ya kweli.
Inaaminika kwamba moja kati ya habari za hatari zilizofanya gazeti hilo kufungiwa kwa muda usiojulikana ni ile ya kuchapisha namba za simu za watu waliowasiliana na Dr Ulimboka mara ya mwisho kabla ya kufanyiwa ukatili.
.
Kwa kusisitiza, Kubenea amesema “hakuna kosa lolote tulilolifanya na tunastahili kupongezwa badala ya kulaumiwa, tulichofanya sisi ni kitu kidogo sana, tuliangalia tu ni nani aliwasiliana na Dr Ulimboka kwa mara ya mwisho… sasa tumepetaje? hizo ni taarifa zetu, kama kuna uchochezi ambao tumeufanya tulipaswa kuwepo Mahakamani lakini mpaka leo hatujaulizwa, hatujahojiwa, hatujaitwa hivyo ina maana hakuna kesi…. mimi kubenea nimefanya uchochezi ni kosa, naweza kufanya kosa kama hilo alafu natembea barabarani? “

Labels:

MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

                                                                       



MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Ndugu Waandishi,
Nalazimika kukutana nanyi kutoa maelezo juu ya tuhuma zenye shinikizo la kisiasa zinazoelekezwa kwangu binafsi kwamba hata mimi nimeshiriki katika vitendo vya rushwa, kwa nafasi yangu kama Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma. Taarifa hizo, kama kawaida ya uzushi mwingine wowote  zimesambazwa kimkakati na kwa kasi kubwa kiasi cha kuukanganya umma.
Nafahamu nabeba dhamana kubwa ya uongozi, taswira yangu ya uongozi daima imeakisi njozi na matumaini ya wananchi wa Kigoma Kaskazini, wananchi wanyonge na vijana kote nchini bila kujali itikadi zao za kisiasa, jinsia zao, makabila yao na rika zao. Hivyo, nawajibika kupitia kwenu kuwatoa hofu juu ya hisia potofu zinazopandikizwa kwao na wale wasiopenda kuona baadhi yetu tukiwaunganisha na kuwasemea watanzania wasio na sauti, dhidi ya vitendo vya hujuma na vyenye dhamira ovu kwa taifa.
Mkakati huo wa kuniunganisha na baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wanaotuhumiwa kwa kupokea Rushwa unatekelezwa kwa njia zifuatazo:
  1.   Kumekuwa na kauli za watendaji wa serikali ambao wamekuwa wakizieneza na hususan kutoa taswira kwamba baadhi ya kauli zangu zinatokana na ushawishi wa rushwa;
  2.   Kuna taarifa ambazo zimeandikwa tena katika kurasa za mbele za baadhi ya vyombo vya habari  zikidai ’’Zitto kitanzini’’ ama ’’Zitto sawa na popo nundu’’  zikiashiria kwamba na mimi ni mla rushwa; na
  3.   Waandishi wa habari na jamii kwa ujumla wamefikia kuaminishwa habari hizi kiasi cha wengine kuuliza kwa nini Mhe. Zitto Kabwe hakutajwa katika orodha iliyotolewa na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani.
Ndugu Waandishi,
Naomba kutoa ufafanuzi wa hicho kinachoelezwa kwamba nina ushiriki katika masuala ya rushwa hususan kwenye masuala yanayohusu sekta ya Nishati na Madini:-
  1. Mara baada ya bodi ya Wakurugenzi ya  Shirika la Usambazaji wa Umeme Tanzania (TANESCO) chini ya Uenyekiti wake Meja Jenerali Mstaafu Robert Mboma kutangaza kwamba imemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Nd. William Mhando ili kupisha uchunguzi wa baadhi ya vitendo/mwenendo wake, Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) ambayo mimi ni Mwenyekiti wake ilimuandikia Mhe. Spika kumuomba aridhie ili Kamati iweze kuwaita Bodi ya TANESCO, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali  (CAG) na pia Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kujiridhisha na tuhuma zote zinazotajwa zinafanyiwa uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa;
  2. Kamati ya POAC ninayoiongoza ilimuomba Mhe. Spika kuwaita wahusika tajwa kwa kuwa zilikuwapo tetesi kuwa kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi huyo siku chache kabla ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kulikuwa na lengo la kufunika ’madudu’ makubwa zaidi kwa kulichagiza Bunge na tukio hilo dogo, mkakati ambao naona umefanikiwa sana. Isitoshe, Kamati kutaka kujiridhisha na hatua za Bodi ni sehemu ya msingi ya utekelezaji wa majukumu ya Kamati yaliyowekwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge na pia Shirika la TANESCO ni moja kati ya mashirika ambayo yanawajibika kwetu kwa hesabu zake na pia ufanisi wake kwa ujumla. Tumefanya hivyo pia katika mashirika mengine, hili la TANESCO sio tukio la kipekee;
  3. Kitendo hiki cha halali na kwa mujibu wa Kanuni kilichofanywa na Kamati yangu  kimetafsiriwa kwa makusudi na baadhi ya watu kwamba ni ishara ya kuwa sisi au zaidi kwamba mimi nina maslahi binafsi na TANESCO na hususan Mkurugenzi wake Injinia Mhando, ndio maana tumetaka maelezo ya Bodi. Ukweli kwamba Kamati ya POAC tumewaita pia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu (CAG) na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kwa jambo hilo hilo umefichwa kwa makusudi!
  4. Baada ya  tukio hilo, nikiwa hapa Dodoma, mwandishi wa habari wa gazeti moja alinifuata akiniambia kuwa wamekutana na Mhe. Waziri Mhongo na Katibu Mkuu wake, Nd. Eliachim Maswi hapa hapa Bungeni na wamewaambia kuwa mimi nimepewa rushwa. Hakutaja nimepewa rushwa na nani, kiasi gani na wala kwa lengo gani!
  5. Nimejaribu kumtafuta kwa simu Mhe. Waziri Mhongo na Katibu Mkuu wake ili wanipe ufafanuzi juu ya mimi na Kamati ya POAC kuhusishwa na tuhuma hizi bila mafanikio, hali ambayo inaniondolea mashaka juu ya ushiriki wao katika kueneza au kuthibitisha uvumi huo. Najaribu sana kujizuia kutokuwa na mashaka na ushiriki wao huo ikizingatiwa uzito na taswira ya nafasi zao katika jamii, lakini wameshindwa kunidhihirishia tofauti.
Sasa naomba kutoa ufafanuzi rasmi kuhusu mlolongo wa matukio hayo tajwa ambayo yanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kuonesha kwamba eti nimehusika na vitendo vya rushwa.
  1. Binafsi sijawahi kuwa na mawasiliano ya aina yeyote na uongozi wa TANESCO kushawishiwa juu ya hatua ambazo POAC ndio imezichukua za kutaka kujiridhisha juu ya utaratibu uliotumika. Ieleweke wazi kabisa kuwa, hakuna wakati wowote, popote ambapo mimi binafsi au Kamati yetu imekataa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO kuchunguzwa kwa tuhuma zozote. Ambacho tumesisitiza wakati wote ni ufuatwaji wa taratibu, kanuni na sheria, hili nitalisimamia iwe masika au kiangazi;
  1. Ni kwa sababu hiyo, na kwa kujiamini kabisa nimeunga mkono suala la tuhuma za rushwa zinazotajwa zichunguzwe na Kamati ya Haki, Maadili na  Madaraka  ya  Bunge kwa kina;
  1. Nimekwenda mbali zaidi kukiomba chama changu CHADEMA kifanye pia uchunguzi na tathmini yake kwa kina kujiridhisha na tuhuma hizo;
  1. Natumia fursa hii pia kuomba vyombo vya Dola vichunguze tuhuma hizo kwa nafasi yake ili kuweza kupata ukweli;
  1. Ninaahidi kushiriki kikamilifu iwapo nitatakiwa katika uchunguzi wowote utakaofanywa na niko tayari kuwajibika iwapo nitakutwa na hatia yeyote.
Napenda niwatoe hofu wananchi wa jimbo la Kigoma Kaskazini walionituma kuja kuwawakilisha hapa Bungeni na Watanzania wote kwa ujumla kwamba:-
  1. Mimi Zitto Zuberi Kabwe sina bei, sijawahi kuwa nayo na sitarajii kuwa nayo huko mbeleni. Daima nimesimamia kidete maadili ya uongozi bora katika maisha yangu yote ya siasa, na nawaahidi sitarudi nyuma katika mapambano dhidi ya rushwa katika nchi hii pamoja na mikakati ya aina hii ya kunidhoofisha na kunivunja moyo;
  1. Nafarijika na salam mbali mbali zinazotolewa kunifariji na kusisitiza kuwa nisilegeze kamba katika mapambano haya, nimepokea ujumbe mwingi kwa simu, sms, tweeter na hata facebook na niko pamoja nanyi Watanzania wenzangu kamwe sitarudi nyuma hadi kieleweke. Naamini katika nchi yetu tunazo rasilimali za kutosha mahitaji/haja ya kila mmoja wetu lakini si ‘tamaa/ulafi’ wa baadhi ya watanzania wenzetu;
  1. Napenda kuweka rekodi sawa kwa Watanzania kwamba nimekuwa Mbunge hiki ni kipindi cha pili, Mimi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) huu ni takriban mwaka wa saba sasa, Kamati yangu inasimamia mashirika 259 ya Umma na si TANESCO peke yake. Mchango wa Kamati hii katika Bunge na kwa ustawi wa Mashirika ya Umma ni bayana na haujawahi kutiliwa shaka. Kamati yetu imeokoa upotevu mkubwa wa mali za umma na kuokoa fedha za umma kutokana na umakini wake. Tumefanya hivyo CHC hivi karibuni, Kiwira na kwenye mashirika mengine mengi. Kote huko uadilifu na uzalendo wa Kamati hii haujawahi kuhojiwa. Inatuwia vigumu kuona kuwa tunahojiwa katika suala hili la TANESCO. Hapa pana kitendawili.
  1. Zipo hoja pandikizi za kutaka Kamati ya POAC ivunjwe na haswa zikinilenga mimi binafsi. Nafahamu kiu ya wasioitakia mema nchi yetu kuiona POAC ikivunjwa au sura zikibadilishwa kwa kuwa Kamati hii imekuwa mwiba kwa mikakati yao ya kifisadi. Kwa maoni yangu, Kamati ya POAC isihusishwe na tuhuma hizi kwa vyovyote vile. Niko tayari nihukumiwe mimi kama mimi na sio kuhusisha wajumbe wengine ambao hawatajwi mahala popote katika tuhuma hizi mbaya sana katika historia ya Bunge letu. Nitakuwa tayari kunusuru Kamati ya POAC na maslahi ya taifa letu kwa kujiuzulu Uenyekiti iwapo itathibitika pasipo shaka kuwa nimehongwa. Kamati ya POAC ni muhimu zaidi kuliko mimi.
  1. Nafahamu pia kuwa kuna wanasiasa hasa wa Upinzani ambao wanautaka sana Uenyekiti wa POAC na wanafanya kila njia kutaka kuidhoofisha. Lakini hawajui kuwa anaepanga wajumbe wa Kamati ni Spika wa Bunge.
  1. Msishangae pia kuja baadae kubaini kwamba baadhi ya wanasiasa wenye midomo mikubwa ya kutuhumu wenzao wao ndio vinara wa kupokea rushwa.
  1. Ni lazima tufike mahali kama viongozi kwamba utaratibu unapokiukwa na yeyote yule, au uongo unapotolewa hadharani tuseme bila kuogopa. Hili ndio jukumu letu kama wabunge na viongozi. Kusimamia ufuatiliaji wa utaratibu ni jukumu letu kama Kamati ya POAC na ndio sababu ya msingi ya kuanzishwa kwa mamlaka kama CAG na PPRA. Haiwezekani, tuwe na set ya kanuni kwa kundi fulani na nyingine kwa makundi mengine, au kuhukumu ufuataji wa taratibu kwa kuangalia sura ya mtu usoni
Mwisho
Kumejengeka tabia hivi sasa ya kuwamaliza wanasiasa wenye kudai uwajibikaji na uzalendo. Kumeanzishwa kiwanda kwenye medani ya siasa cha kuzalisha majungu na fitna zenye lengo la kuwachonganisha wanasiasa wa aina hiyo na wananchi kwa kutumia vyombo vya habari na nguvu ya fedha. Naamini mbinu hizi chafu, kama nyingine nyingi zilizojaribiwa kwangu huko nyuma nazo zitashindwa.
Naamini katika kweli na kweli daima huniweka huru. Naamini kuwa mwale mdogo wa mwanga wa mshumaa hufukuza kiza. Kwa imani hiyo, sitasalimu amri mbele ya dhamira zao ovu hata nitakapobaki peke yangu katika mapambano hayo ya kulinda na kutetea rasilimali za taifa zinufaishe watanzania wote.
Daima nitaongozwa na busara ya Hayati Shabaan Robert isemayo, ‘Msema kweli huchukiwa na marafiki zake, nitakapofikwa na ajali hiyo, sitaona wivu juu ya wale wawezao kudumu na marafiki zao siku zote, siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga”.
Ahsanteni sana.

Labels: