Saturday, August 25, 2012

CHEKA WEEEEE..>!!!!!!!!!!


Mlevi Mmoja Alibatizwa
akazamishwa majini
Mchungaji akasema
tangu sasa hautaitwa
RAHIMU utaitwa Yohana
Umekua kiumbe kipya.
Mlevi alipofika
Nyumbani akachukua
BIA akaitumbukiza
kwenye ndoo ya maji
akasema kuanzia sasa
hutaitwa TUSKER
utaitwa FANTA alafu
akainywa......!!!!!
...!!!!!.tafakari chukua
hatua...ULEVI
NOMAAAA..






MTALII mmoja kaja BONGO akakutana na interpreter mmoja mswahili anaitwa MKUBYA wakaenda hotelini mambo yakawa hivi:

TOURIST:"Do you have vegetables here?"
MKUBYA:"Mnavyo vijimeza hapa?"

WAITER:"Vijimeza vidogo hatuna."
MKUBYA:"No sir,they dont have."

TOURIST:"Ok,fine do you have hotdogs?"
MKUBYA:"Sawa,je mnao mbwa moto?"

WAITER:"Loh! Bwana we hatupiki mbwa hapa!"
MKUBYA"They dont cook here."

TOURIST:"What type of snacks do you have here?"
MKUBYA:"Aina gani ya nyoka munauza hapa?"

WAITER:"We bwana ee hapa hatupiki aina yeyote ya nyoka mwache akale nyumbani kwao."

MKUBYA:"They dont cook any type of snacks here,maybe you can go back and eat at home."

TOURIST:"Ok,atleast give us cocktail juice."
MKUBYA:"Ok,basi tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo."

WAITER:"Pumbavu,hebu tokeni na bangi zenu hapa,tena sasa hivi kabla sijakasirika!!"

MKUBYA:"Lets get out of here i think this man is crazy!!"
~Ne~






Saa mbili asubuhi jamaa bado hajarudi nyumbani kwake toka jana.Mke akakerwa sana,mwishowe akaamua kumpigia simu:

WIFE:"Uko wapi we mwanamume ovyo,muhuni mkubwa usiku mzima humkumbuki mkeo kazi kuzurura tu,mi nimechoka mpuuzi wewe unipe talaka yangu! Tena leo.....uko wapi?"

JAMAA:"Unakumbuka lile duka la sonara? Pale ulipoona ule mkufu wa dhahabu ukaupenda sana?"

WIFE:{akaanza kuwa mpole} "Ndio
mume wangu mpenzi,napakumbuka.Kumbe darling uko nje unatafuta mazuri ili mkeo nipendeze,nisamehe kwa hayo maneno yangu makali.Kwa hivyo ndo uko hapo umeamua kuununua...we nawe unanipenda kweli,asante sana mume wangu,najua umechoka nunua haraka uje unywe chai kabla ya hujaenda ofisini.Mwaaaah♥"

JAMAA:"Hapana sio hivyo nilitaka nikwambie niko kwenye bar karibu na hilo duka....kuna beer za offer nakunywa tokea jana!!"





Shahidi wa tukio la ajali akitoa ushahidi wake mahakamani..na hivi ndivyo ilivyokua:

Mwanasheria: "Ni kweli kwamba uliishuhudia ajali iliyotokea?"

Shahidi: "Ndio niliishuhudia."

Mwanasheria: "Ulikua umbali gani kutoka kwenye tukio la ajali?"

Shahidi: "umbali wa futi 31 na nchi 6 na robo."
Mwanasheria (akidhani atamtia mtegoni shahidi): "Vizuri, Je unaweza kuiambia Mahakama ulijuaje kama umbali huo uliosema ndo wenyewe haswaa?"

Shahidi: "Kwa sababu ajali ilipotokea nilichukua futi ya kupimia nikapima na nilijua some stupid lawyer would ask me that question."





Kulikuwa na jamaa wawili kipofu na kiziwi waliongozana wakawa wanaenda porini walipofika sehemu moja wakaona matunda wakaamua na apande juu ya mti ikabidi apande yule kiziwi alipofika juu ya mti akakanyaga tawi lililooza akadondoka chini bahati mbaya nguo zikabaki kwenye matawi akamwambia yule mwenzie niangalie kama nimepona yule kipofu akaenda akampapasa akamshika kwenye makalio akasema yayayayaa! Yaani meno yote mdomoni hayamo asijue kuwa ameshika makalio.







Jamaa aktika mizunguko yake kafika mahali akajiskia ana kiu akaenda nyumba iliyokuwa jirani na hapo akaomba maji ya kunywa.. Akaja mtoto na kikombe cha maziwa akampa. Jamaa alipomaliza akaomba aongezwe dogo akamletea tena maziwa.. Jamaa ikabidi aulize, '' vipi mbona mnagawa maziwa kwa wingi namna hiyo?'' dogo akamwambia kuwa panya alindumbukia kwenye maziwa ndio maana wote hapa nyumbani wameyakataa.. duh jamaa kusikia vile kwa mshangao akaachia kikombe chini kikavunjika.. yule dogo akapiga kelele eti '' Yalaaaaaaaaa kile kikombe Bibi anachotemea mate kimevunjikaaaaaaa....






Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?






Jamaa walikuwa
wanacheza mpira. Kwa
bahati mbaya mchezaji
mmoja akaanguka na
kuzimia. Refari alikuwa
mzungu lakini wachezaji wote ni waswahili.
Mchezaji mmoja akataka
kumwambia refari
(Mzungu) kuwa huyu
jamaa kazimia. Akafikiria amwambie nini
refarii kwa sababu refari
hajui kiswahili. Akafikiria
kuwa neno "kazi" ni "Job" kwa kizungu, na neno "mia" ni "hundred" kwa kizungu, akasema sasa
nimejua nini nimwambie
refarii, akamwendea
refarii na kumwabia hivi
"Hello refari this man
kajob handred".







Jamaa1 alitulia beach mara
akapita mzungu
akamuuliza "R U RELAX"
jamaa hajui k2 akajibu
"NO" akapita mwingne
akamuuliza vilevile jamaa
akajibu "NO AM
ALEX"....Akaamua kusogea
mbele akamkuta mzungu
ame2lia akamuu "R U
RELAX"mzungu akajibu
"YEAH!" Jamaa akampiga
bonge la bao
akamwambia "ebo!!!
Wananiangaisha mie 2
kumbe we ndo relax
umejificha huku nenda
uko wenzio wanakutafuta.






KUNA DOGO MMOJA WAKIKE ANARUDI NYUMBANI KWAO NA MADAFU MAWILI MKONONI,MAMA YAKE AKAWA ANAMUULIZAWAKINA JUMA NDIO WAMEKUANGULIA MADAFU? MTOTO AKAJIBU HAPANA MAMA WAMEKATAA KABISA NIMEPANDA MWENYEWE KUANGUA .MAMA AKAANZA KUGOMBA WASHENZI SANA HAWA WAKINA JUMA WALITAKA UPANDE TU WAKUCHUNGULIE CHUPI,,,KISCHANA KIKAJIBU ,,NA MIMI NILIJUA TU NDOMAANA NILIIVUA KABLA YAKUPANDA WAMEZODOKA EEE MAMA,,,,,,,,,,MAMA KABAKI NA MSHANGAO WAAJABU.








Mlevi anarudi na rafiki yake mgeni nyumbani kwake na kuanza kumuelekeza hii ni nyumba yangu na lile ni gari langu, wakaingia ndani wanalikuta njemba limelala na mke wa mlevi bila wasiwasi mlevi akaendelea kuelekeza kile ni kitanda changu, yule ni mke wangu na yule aliyelala naye ni MIMI. .




Labels:

Friday, August 17, 2012

dahh ni nomaa..


MCHAGA anamdai MPARE hela..huku MSAMBAA akishuhudia
MPARE:nimesema sikupi bora nijiue avaeee
(kwa ubahili wake mpare akajichoma kisu akafa)
MCHAGA:kiruu umejiua mbee sikubali na kufuata huko huko unipe pesa yangu
(kwa kupenda hela mchaga nae akajichoma kisu ili amfuate)
MSAMBAA:tateee nane nane..yaani hawa wanataka kuninyima uhondo wanaenda kudaiana huko ili nisione,walah sikubali nami najichoma
(msambaa kwa umbea tu,na uboya wake nae akajichoma)....

Labels:

Thursday, August 2, 2012

KWELI MLEVI MLEVI TU..


Jamaa kaingia bar

Jamaa :Mhudum nipe kinywaji na mpe kila m2 humu ndan kinywaji maana wakati napata kinywaji lazima kila m2 apate kinywaji
haraka sana mhudum akagawa vinywaji
Jamaa: Mhudum nipe supu na kila m2 mpe supu maana ninapo kunywa supu kila m2 lazima anywe supu
Wa2 wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi

Jamaa: Mhudumu nipe bili na kila m2 mpe bili yake maana wakati nalipa bili yangu kila m2 lazima alipe yake
zogo lilianza hapo!! AAAAAAAAHHHHH

Labels:

KWELI WAKULIMA WASHAMBA..


Mchezo wa Karata na slang zake siyo ujue...!
Sasa sikia hii:
Jamaa fulani walikuwa wakicheza karata porini,mara wakapita wakulima,wakasikia sauti ikisema,
"Weka jembe chini"
...Wakulima si wakaweka majembe yao chini! Mara tena,
"Weka kisu"
...Masikini wakulima hawa wakaweka tena visu vyao chini...! "Naomba kopa"
,wakaangaliana,hawana kopa...!
..."Weka mavi chini",
ikabidi mmoja wao anye palepale! Mara wakasikia tena,
"Kama huna mavi lamba",
ikabidi yule ambaye hajanya alanmbe ya mwenzake! 

>>Mara wakasikia ,"GAME OVER",wakashtuka khaaahh,kumbe kulikuwa na watu wanacheza karata!!!

Labels:

MFALME NA JAMAA..


Mfalme mmoja aliwaita watu kijijini akasema shujaa atakayeogelea kwenye hili bwawa la mamba nampa binti yangu mara akasikia PWAAA!jamaa kajitosa kaogelea mpaka upande wa pili mfalme akasema nitakupa binti yangu na mali jamaa akasema
"SITAKI BINTI YAKO WALA MALI NAMTAKA MTU ALIYENISUKUMA KWENYE BWAWA ATANITAMBUA LEO!"

Labels:

JAMAA NA MPENZI WAKE

Kuna jamaa mmoja alitaka kumjaribu mpenzi wake anayeishi mkoa mwngne akamuandikia barua na kumuambia
"Nimempata mpenzi mwingine wewe sikutaki tena kwa hiyo naomba unirudishie picha yangu niliyokupa. Bac yule dada alilia sana kwa uchungu,ili naye kumkomoa mpenzi wake huyo alitafuta picha za wanaume mia moja hivi na kumtumia jamaa na kumueleza:
"Samahani nimekusahau, hebu tafuta picha yako katika hizo kisha unirudishie maana zingine ni za mabwana zangu
.Jamaa kwa uchungu akaamua kujinyonga,plz guyz take care na wapenz wenu

Labels:

BINTI ANATAKA KUOLEWA...

Binti kaenda kumuona mtaalamu
wa mahusiano.
Maongezi haya hapa mwanawane:

Binti: Naomba unisaidie kupata mchumba.
Mtaalam: Unataka mwanaume wa aina gani?
Binti: Nataka awe mchangamfu, awe anaweza kunihadithia stori tamtamu siku nzima, awe na uwezo wa kuniliwaza na kunibembeleza, asitoke ndani na asiwe mbishi.
Mtaalam: Sawa, olewa na redio. ndio ina mambo yote hayo

Labels:

Tuesday, July 24, 2012

BIBI HATARI WA KUPINGA..

Kuna bibi m1 alienda benk kufungua account bt alivyofka benk akawa anataka aonane na manager kwanza....

Customer servic wakamzuia wakidai boss yupo busy hataki kuonana na m2 by dat tym... Wakati mzozo unaendelea manager akatoka ofisin kwake, akamwita yule bibi amsaidie shida yake...

Bibi akaenda ofisini na manager, maongez yakawa hv..
... .
MANAGER: "Unashda gani bib
i!?!"
BIBI: "Nataka kufungua account, niweke milion 30 zangu..."

MANAGER: "Mmmh!! Mbona unaonekana mzee sana, pesa zote umezitoa wap?!?

BIBI: "Nimezipata kwenye mchezo wa KUPINGA, hata wewe ukitaka 2naweza pinga tu!!!"

MANAGER: "Mmh, 2napingaje?!?

BIBI: "Aaah, rahisi sana, mim naweka hizo milion 30 na wewe weka hizo hizo, mpaka kesho sa nne asubuh sehem zako za siri zitakua ngumu sana kama mawe... Zisipokua hivyo umenila zikiwa nimekula wewe..."

MANAGER: "Mmmh, sawa hamna shida...."

Kake asubuhi saa nne yule bibi alikuja na mzee mwingine pale benk...

Manager alivyomuona bibi akamwambia,
"Bibi umeliwa!! Sehem zangu za siri zipo kama kawaida
..."
BIBI: "Sawa mjukuu wangu, sasa mimi nitaaminije bila kuzishika..?!?"

MANAGER: "Njoo 2 uhakikishe bibi..."

Bibi akaenda akaanza kumshika yule manager nyeti zake... Wakati anamshika vile yule mzee aliekuja nae akawa ameshika kichwa huku anatukana tukana na machozi yakimlenga....

Manager akamuuliza bibi,
"Vipi mbona yule mzee uliyekuja nae kawa vile....?!?"

Bibi akamjibu,
"Aaah, yule nilipinga nae kwa milion 90 kuwa naweza kumshika manager wa benk sehemu zake za siri akabisha ndo nikapinga nae... So ndo kashaliwa pale..."

Labels:

mlevi huyu mmmhhh...


Mlev:nipekinywaji,nakila m2 apewe kinywaji...manake napokunywa kil m2 anywe!!
Search Description

Mlev:nipe supu.,nakilam2 apewe supu..manake napokunyw supu kila m2 anywe! "hapa w2 wakapig makof"
mlev:nipe bili, nakila m2 apewe bl yake, napolipa bl kil m2 alipe yake, "kwahel

Labels:

Thursday, July 19, 2012

MWALIMU NOMAA..

Mwalimu ;" wewe john unacheka nini?"

John ; "mwalimu Umekaa vibaya nimeona mapaja yako "

Mwalimu ; "huna adabu wewe toka nje nisikuone mpaka kesho"

Mwalimu ; "na wewe Michael unacheka nini??"

Michael; "mwalimu nimeona kamba ya bikini yako"

Mwalimu ;"shenzi wewe toka nisikuone mpaka next week"

Mwalimu ; "na wewe Jose vipi??"

Jose ; "mwalimu nimeona tattoo yako"

Mwalimu ;"hii mitoto, toka nisikuone mpaka mwezi ujao"

Mwalimu ; "na wewe Eric unaenda wapi sasa???"

Eric; "nilichokiona mwalimu nadhani nimefukuzwa shule kabisa."

Labels:

NUNA UKIGUNDUA CHEKA..











Labels: ,

Wednesday, July 18, 2012

MZEE MZIMA HAJUI TISHU...??

Mzee mmoja alitoka kijijini kwenda
mjini kuwasalimia wanae na
wajukuu,alipofika akapewa MSOSI
WA NGUVU akala akashiba,mara
akasikia mtoto anambiwa, "JUMA
MLETEE BABU TISHU" Mzee
aliposikia ivyo akaropoka, "AAAH
JAMANI NIMESHIBA HIZO TISHU
NIWEKEENI NITANYWEA CHAI KESHO
ASUBUHI".........

Labels: ,

ZUZU NOMA..


Basi lilipata ajali likazama kwenye mto, abiria wakaanza kuogelea bahati nzuri Zuzu akajitahidi na kujiokowa, mara Zuzu akavua nguo na kutaka kujitupa tena kwenye mto, akaulizwa unataka kufanya nini? Akajibu namtafuta konda hajanirudishia chenji yangu ..............!!!

Labels:

Sunday, July 15, 2012

msikie huyu profesa

Profesa wa Computer Science akitongoza Demu.......!!!!
Profesa:Penzi langu lina GB kubwa sana kwako mpenzi nataka ni INSTAL MOYO wangu kwenye CPU ya nafasi yako naomba uniDOUBLE CLICK kwenye maisha yako niwe SOFTWARE moyon mwako, ur lyf wil not be at Risk....Condom itakua ni ANTIVIRUS tosha twende angaza 2KASCAN afya ze2

Dem:Usidhani kila mwanamke nmwepesi kutongoza kama search engine ya GOOGLE, ukamchezea chezea kama KEYBOARD,kwanza univutii kama LAPTOP YA APPLE

Profesa Akajibu:KUBABAKO KWANZA DEMU MWENYEWE MREFU KAMA WAYA WA ADAPTER

Labels:

Sunday, July 8, 2012

Jamaa nomaa

Mfalme mmoja aliwaita watu kijijini akasema shujaa atakayeogelea kwenye hili bwawa la mamba nampa binti yangu mara akasikia PWAAA!jamaa kajitosa kaogelea mpaka upande wa pili mfalme akasema nitakupa binti yangu na mali jamaa akasema"SITAKI BINTI YAKO WALA MALI NAMTAKA MTU ALIYENISUKUMA KWENYE BWAWA ATANITAMBUA LEO!"

Labels: