Friday, August 17, 2012

dahh ni nomaa..


MCHAGA anamdai MPARE hela..huku MSAMBAA akishuhudia
MPARE:nimesema sikupi bora nijiue avaeee
(kwa ubahili wake mpare akajichoma kisu akafa)
MCHAGA:kiruu umejiua mbee sikubali na kufuata huko huko unipe pesa yangu
(kwa kupenda hela mchaga nae akajichoma kisu ili amfuate)
MSAMBAA:tateee nane nane..yaani hawa wanataka kuninyima uhondo wanaenda kudaiana huko ili nisione,walah sikubali nami najichoma
(msambaa kwa umbea tu,na uboya wake nae akajichoma)....

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home