Friday, August 3, 2012

HATIMAYE MRISHO NGASSA AKABIDHIWA JEZI NAMBA 16 NAKUANZA MAZOEZI LEO..

Mchezaji mpya wa timu ya Simba, Mrisho Khalfan Ngassa hivi leo asubuhi ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wa timu ya Simba.
Bongomixx ilimfuatilia kwa ukaribu nakugundua kuwa, mrisho Ngassa akiwasili na Gari yake ambayo alipewa kama aina mojawapo ya uhamisho kutoka timu ya Azam ambayo alikuwa akiichezea hapo awali.
Mchezaji mpya wa timu ya Simba, Mrisho Ngassa (kushoto) akitoka mazoezini hivi leo asubuhi.



Mrisho Ngassa akiwa ndani ya gari yake aliyokabidhiwa na timu ya Simba.
                                                                       
                                                                    

Labels: ,

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home