Monday, July 9, 2012

MAJAMBAZI WAVAMIA MGODINI NAKUUA..

Kundi kubwa la majambazi limevamia mgodi wa Buhemba, Musoma na kukata kata watu mapanga nakisha kuchukua mali pia na kuwachapa wengine risasi usiku wakuamkia ijumaa tarehe sita. kama unavyoona Mungu wape nguvu na afya nzuri.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home