Tuesday, July 10, 2012

Diva Loveness Asema “Atakae Taka Kunioa Mahari Si chini Ya Mil 500

Mwana dadiva anaeendisha kipindi cha ala za roho ndani ya the people’s station Diva loveness love jana amefunguka alipokuwa akifanya kipindi cha xxl na mtu mzima Adam Mchomvu kuwa kwa yeyote atakae jitokeza kumuoa basi lazima awe na si chini ya shilingi millioni 500.
Diva Loveness love akiwa studio..

Labels: , ,

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home